Natafuta Mume

Natafuta Mume

Habari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia

Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Napenda wa iraqwi
 
Ikifika pale pa 'YEYOTE ILI MRADI ANAPUMUA' Mniamshe!

Nashangaa wanavotafutaga mume na kueka mavigezo kibao adi unajiuljza mahari anatoa yeye au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom