Designated
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 1,088
kuonja vimoNatafuta mume, mkristo29-35
Upo wapNatafuta mume, mkristo29-35
Wanaume fursa hii hakuna hata vigezo na masharti kama umri unaruhusu na ni mkristo mke unae tayari.
Usiwakatishe watu tamaa ikiwa haujampata mtu sahihi. Wanawake na wanaume wenye upendo wa dhati wapo ila ni vigumu sana kuwapata. Jipe muda utapata mtu sahihi kwako na utasema ulikuwa wapi honey muda wote nikiteseka?Unatafuta Mauti KUZIMU?
😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆
Usinichekeshe me nimefiwa!
Mdogowangu me niolewe mara Ngapi!?Usiwakatishe watu tamaa ikiwa haujampata mtu sahihi. Wanawake na wanaume wenye upendo wa dhati wapo ila ni vigumu sana kuwapata. Jipe muda utapata mtu sahihi kwako na utasema ulikuwa wapi honey muda wote nikiteseka?
Kama ww mtoto mzuri unalalamika, sijui S wangu huko alipo maana kwa vitimbi alivyonifanyia ilibidi nipige chini mapema. Ila nashukuru wanawake mko wengi sikuumia. Tangia siku ile nikasema sitapenda mwanamke yoyote wala kuoa.Nazalisha kisha nakaa na wanangu. Kuishi na mwanamke ni stress tu.
! mtoa uzi
Mimi nina 40. Unasemaje? Sijaoa, maswala ya shule ndio yamenilostisha.




Ukishakua na ukimwi tu itabaki lugha ya maliwazo lakin kutengana ni lazima![]()
Natafuta mume
Mimi ni binti wa miaka 26,ninaishi na VVU natafuta mume wa hali yangu awe mkristo 29-35 mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu.Mimi ni mrefu,mweupe kiasi na Nina bachelor. Sent using Jamii Forums mobile appwww.jamiiforums.com
Bado haukupata![]()
DaahUkishakua na ukimwi tu itabaki lugha ya maliwazo lakin kutengana ni lazima
Mdogowangu me niolewe mara Ngapi!?
Nilishaolewa Nina ndoa ya Miaka 33
Mama wa watoto 3 na wajukuu 5
Pole Kwa yaliokukuta usiyakatie tamaa MAISHA... Maisha lazima yaendelee... Mwombezi Mungu Sana atakupa wa Ubavu wako WA kushoto Sawa ee?