Mimi nina 40. Unasemaje? Sijaoa, maswala ya shule ndio yamenilostisha.Natafuta mume, mkristo29-35
Mimi nina 40. Unasemaje? Sijaoa, maswala ya shule ndio yamenilostisha.Natafuta mume, mkristo29-35
ohoooMungu atakupa Hitaji la moyo wako dada. Ndio wewe kwenye ule uzi mwingine ulisema una HIV?
Natafuta mume, mkristo29-35
Nipo hapa!ila cjui ka vigezo utavikubali!?Natafuta mume, mkristo29-35

Ndio kweli, nifungulie PMKweli mkuu?
Ndio kweli, nifungulie PM
Na Mimi nakujaSawa
KaribuNa Mimi nakuja
Unatafuta Mauti KUZIMU?Natafuta mume, mkristo29-35
Watu wanatafuta madili ya pesa wewe unatafuta upuuzi... mume hatafutwi, mume/mke ni matokeo ya ukaribu, urafiki na mapenzi baina ya watu wawili.Natafuta mume, mkristo29-35
kama upo serious plz njoo tuwasiliane nimeteseka mpk basNatafuta mume, mkristo29-35
Huna vigezo??