Natafuta mume

Natafuta mume

Hao ndo wazuri...hasikii kitu wee unaendelea ru
Haipendezi kabisa hata hivyo kwa taarifa yenu hiyo ni invention mojawapo ya ibilisi lengo likiwa ni kuzidisha machukizo juu ya uso wa nchi, hata hivyo Mungu alitupa binadamu uhuru na uwezo wa kuchagua, hakuna aliyelazimishwa kumwamini Mungu ni hiari kwa moyo wako tu.
[HASHTAG]#Tamaa[/HASHTAG] ikishachukua mimba, huzaa mauti
 
Haipendezi kabisa hata hivyo kwa taarifa yenu hiyo ni invention mojawapo ya ibilisi lengo likiwa ni kuzidisha machukizo juu ya uso wa nchi, hata hivyo Mungu alitupa binadamu uhuru na uwezo wa kuchagua, hakuna aliyelazimishwa kumwamini Mungu ni hiari kwa moyo wako tu.
[HASHTAG]#Tamaa[/HASHTAG] ikishachukua mimba, huzaa mauti
Uwiiii nimekosea uzi wa kuComment, naombeni mnielekeze uzi wa wale watu wa samantha uko wapi?, maana leo nimekosea njia ajabu
samahanini sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom