Mimi ni mkulima.Nalima hadi ekari 500! Je nina sifa?(mara nyingine uchovu ukinibana nalala na rain boot!Nije P.M?
Na mateli pia [HASHTAG]#Wapo[/HASHTAG] #
Zaa wako umsomeshe akuoe..Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Hahahaaaateacher umeguswa sana daaah..!Halafu ukome na ukomae kutuhusisha walimu na huo upumbavu wako, hayawani Mkubwa wee!
hhahaahahaha umemuweza ajitafakari kwa kweli maana sio kwa mashart haya!!!kama umekosa kote kwenye makundi yote, I mean, Uliposoma, kanisani, Mtaani, Kazini, Kwenye Mahotel yote, then waja hapa na masharti kibao??????? Hemu jitafakari tena Dada yangu.
Yani hayo masharti yako magumu sana dada
Yani mwanaume awe na sifa zote hizo afu awe hajapata mtu anakusubiri wewe, kwanza mwanaume ukiwa na hizo sifa unatongozwa wala hutongozi, hapo ulitakiwa utoe na counter offer, yani what special will you offer.
Kazi tunayo kwa kweli maana si kwa masharti hayowanaume kazi mnayo .