Natafuta mume

Siku zoote taarifa zina sema kuwa; wanawake ni wengi kuliko wanaume
Hivyo ni lazima tukubali kuwa, sio wote wataolewa/wataolewa kwa wakati sawa

Naunga hoja ya waislamu kuoa mke zaidi ya mmoja pale mazingira yanapo ruhusu ili kufanya dada zetu wote waingie kwenye ndoa salama
Ni kweli lakini wao hili hawalitambui
 
kweli Ndumilakuwili sio wote tumeandikiwa kuolewa mwisho wake ndio tunatafuta waume wenyewe
Dada yangu siku zote mwanamke akiwa anajitambua,msafi,sio mvivu,anajua kupika,ana heshima na sifa zingine nzuri ata olewa tu sisi wanaume tunatabia moja kuna wanawake tukiwasoma tu tunajuwa huyu hafai kuwa mke huyu ni wakugonga basi na kuna mwingine kwa mwenendo wake tu unajua huyu natakiwa kumuheshimu anafaa kuwa mke.
 
Siunaona sasa jinsi ulivyo huelewi, tofautisha kati ya elim ña dhehubu,
Sikuwa na maana kiviile kwa hiyo ulishindwa tu kuelewa mwanzo maana naona napiga ngoma isiyoeleweka lakini unacheza hivyo hivyo,
Pole mkuu kwa kukusumbua
 
Dada yangu siku zote mwanamke akiwa anajitambua,msafi,sio mvivu,anajua kupika,ana heshima na sifa zingine nzuri ata olewa tu sisi wanaume tunatabia moja kuna wanawake tukiwasoma tu tunajuwa huyu hafai kuwa mke huyu ni wakugonga basi na kuna mwingine kwa mwenendo wake tu unajua huyu natakiwa kumuheshimu anafaa kuwa mke.
na bahati pia inachangia kaka unaweza ukafanya vyote hivyo na kuolewa usiolewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom