Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,029
- 8,637
Ni kweli lakini wao hili hawalitambuiSiku zoote taarifa zina sema kuwa; wanawake ni wengi kuliko wanaume
Hivyo ni lazima tukubali kuwa, sio wote wataolewa/wataolewa kwa wakati sawa
Naunga hoja ya waislamu kuoa mke zaidi ya mmoja pale mazingira yanapo ruhusu ili kufanya dada zetu wote waingie kwenye ndoa salama