Natafuta Mume

Natafuta Mume

Picha nzuri ila ukimuona unakimbia na hugeuki nyuma.
 
Am Josephina from Dar es salaam, nimeajiriwa, nina miaka 33, msomi mwenye elimu ya chuo kikuu, mwembamba sio mrefu sana wala mfupi ni wa wastani, chocolate colour nimeokoka nampenda Yesu hivyo nina hofu ya Mungu moyoni mwangu sambamba na hilo ni mbunifu wa mambo mbalimbali na nafanya kazi kwa bidii yoyote ile natafuta mchumba aliye SERIOUS ili baadae aje kuwa mume wangu mpenzi wa ndoa.

Mwenye sifa zifuatazo: Awe mkristu mwenye hofu ya Mungu wa umri wa miaka 34 mpaka 38, anaishi DAR, mrefu,mwembamba, muajiriwa au mfanya biashara, msomi, mwenye mapenzi ya dhati, asiyekuwa AMEOA na asiye na mtoto, mwenye mawazo ya kimaendeleo, msafi, na anayejituma kwa maendeleo ya familia yetu, awe mvumilivu.

Kwa mawasiliano na mimi piga namba.

Piga no hii +255672433591

Mimi sitaki uwe mchumba wangu ila nimependa tuwe marafiki. Naweza kukupigia sasa hivi? Au tuchat whatsapp
 
Kuwa makini,utampata tu,maana waume feki humu JF wako kibao.
 
Umechoropoa vichanga vingapi,namaanisha,umetooa mimba ngapi,sifa ninazo,njibu
 
We huwezi kupata mume ume expire,mtaani kuna totozi zimeguswa kidogo tu watu waache kuoa waje kwako papuch imepitiwa vya kutosha miaka yote hiyo,ungesema unatafuta mwanaume wa kukupa raha ungenipata ila sio kukuoa.
 
Back
Top Bottom