josephinelui
New Member
- Sep 19, 2016
- 4
- 7
Am Josephina from Dar es salaam, nimeajiriwa, nina miaka 33, msomi mwenye elimu ya chuo kikuu, mwembamba sio mrefu sana wala mfupi ni wa wastani, chocolate colour nimeokoka nampenda Yesu hivyo nina hofu ya Mungu moyoni mwangu sambamba na hilo ni mbunifu wa mambo mbalimbali na nafanya kazi kwa bidii yoyote ile natafuta mchumba aliye SERIOUS ili baadae aje kuwa mume wangu mpenzi wa ndoa.
Mwenye sifa zifuatazo: Awe mkristu mwenye hofu ya Mungu wa umri wa miaka 34 mpaka 38, anaishi DAR, mrefu,mwembamba, muajiriwa au mfanya biashara, msomi, mwenye mapenzi ya dhati, asiyekuwa AMEOA na asiye na mtoto, mwenye mawazo ya kimaendeleo, msafi, na anayejituma kwa maendeleo ya familia yetu, awe mvumilivu.
Kwa mawasiliano na mimi piga namba.
Piga no hii +255672433591
Mwenye sifa zifuatazo: Awe mkristu mwenye hofu ya Mungu wa umri wa miaka 34 mpaka 38, anaishi DAR, mrefu,mwembamba, muajiriwa au mfanya biashara, msomi, mwenye mapenzi ya dhati, asiyekuwa AMEOA na asiye na mtoto, mwenye mawazo ya kimaendeleo, msafi, na anayejituma kwa maendeleo ya familia yetu, awe mvumilivu.
Kwa mawasiliano na mimi piga namba.
Piga no hii +255672433591