Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

miss manka

Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
20
Reaction score
7
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.

Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.


Karibuni,kejeli sio nzuri
 
����
Alaf utakuaje kuwa ni nasty in bed����??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom