Natafuta mume wa kunioa tafadhali

people peopleeee!!! Stop being negative!!!
Kwani hamjawahi ona watu wanakutana online wanaoana?
Mwenza utampata popote haijalishi jamani!!!
Mdada wa watu kajiwekea tangazo lake hapa! Yani mnavomdiscourage!!!!!hadi huruma!!!
Amejiunga jana,kajiunga leo inakuhusu nini??
Kina melo waanzilishi wapo kimya hawatii neno!! We leo unaedandia komputa za ofisi kelele mingiii!!!
Mwacheni dada wa watu,kama huna msaada waache wanaohusika wamsaidie!
Mnaratibu kazi za Mungu kupanga maeneo ya kupata mke/mme kwa usafi gani ulio nao??
Mwaya we dada kama Mungu alikupangia kupata humu utapata tu mpenzi,mshirikishe Mungu.
Ye ndo anajua na anaweza yote acha hawa wauza maneno waongee,kati yao tena walivopaka mwitu atajitokeza huyo huyo pm akutake! Kuwa makini!
Esp suala la sex . Meet varieties ili upate nafasi ya kuwachunguza!
Epuka loosers n broke as.s.
Goodluck na majibu ulete.
 
Take care, mchumba wa mitandani ni nadra kumpata wa kweli, otherwise utaishia kuchezewa tu.
 
Take care, mchumba wa mitandani ni nadra kumpata wa kweli, otherwise utaishia kuchezewa tu.

acha kumkatisha mwenzako tamaa' mbona tunaoana na wazungu kupitha hii mitandao?
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi.

asee kama upo kweli piga number 0759786184
 
people peopleeee!!! Stop being negative!!!
Kwani hamjawahi ona watu wanakutana online wanaoana?
Mwenza utampata popote haijalishi jamani!!!
Mdada wa watu kajiwekea tangazo lake hapa! Yani mnavomdiscourage!!!!!hadi huruma!!!
Amejiunga jana,kajiunga leo inakuhusu nini??
Kina melo waanzilishi wapo kimya hawatii neno!! We leo unaedandia komputa za ofisi kelele mingiii!!!
Mwacheni dada wa watu,kama huna msaada waache wanaohusika wamsaidie!
Mnaratibu kazi za Mungu kupanga maeneo ya kupata mke/mme kwa usafi gani ulio nao??
Mwaya we dada kama Mungu alikupangia kupata humu utapata tu mpenzi,mshirikishe Mungu.
Ye ndo anajua na anaweza yote acha hawa wauza maneno waongee,kati yao tena walivopaka mwitu atajitokeza huyo huyo pm akutake! Kuwa makini!
Esp suala la sex . Meet varieties ili upate nafasi ya kuwachunguza!
Epuka loosers n broke as.s.
Goodluck na majibu ulete.

Naunga mkono hoja yako,tena anaweza kupata wa humuhumu mzuri2 na ndoa yao ikawa mfano wa kuigwa.
 
kama hitaji lako ni la kweli tuma anuani yako kupiti simu hii 0767405579 ili tuwasiliane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom