sababu amefikia umri wa kuolewa. hivi siku nikitaka kuoa nitume application na kwako?Kwanini unahis hivo?
Take care, mchumba wa mitandani ni nadra kumpata wa kweli, otherwise utaishia kuchezewa tu.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi.
sababu amefikia umri wa kuolewa. hivi siku nikitaka kuoa nitume application na kwako?
people peopleeee!!! Stop being negative!!!
Kwani hamjawahi ona watu wanakutana online wanaoana?
Mwenza utampata popote haijalishi jamani!!!
Mdada wa watu kajiwekea tangazo lake hapa! Yani mnavomdiscourage!!!!!hadi huruma!!!
Amejiunga jana,kajiunga leo inakuhusu nini??
Kina melo waanzilishi wapo kimya hawatii neno!! We leo unaedandia komputa za ofisi kelele mingiii!!!
Mwacheni dada wa watu,kama huna msaada waache wanaohusika wamsaidie!
Mnaratibu kazi za Mungu kupanga maeneo ya kupata mke/mme kwa usafi gani ulio nao??
Mwaya we dada kama Mungu alikupangia kupata humu utapata tu mpenzi,mshirikishe Mungu.
Ye ndo anajua na anaweza yote acha hawa wauza maneno waongee,kati yao tena walivopaka mwitu atajitokeza huyo huyo pm akutake! Kuwa makini!
Esp suala la sex . Meet varieties ili upate nafasi ya kuwachunguza!
Epuka loosers n broke as.s.
Goodluck na majibu ulete.
Jana ndiyo umeingia Jamvini,leo thread ya kwanza unataka mume,kwanini usisome kwanza sheria za mchezo? Una hofu na Mungu gani?
Wenye hofu ya Mungu huwa hawatafuti waume mtandaoni
jam hainihusu sababu natumia chopa. kama vipi niruhusu sasa hivi nianze kurusha ndoano.Kwangu kuna jam ndf sana
jam hainihusu sababu natumia chopa. kama vipi niruhusu sasa hivi nianze kurusha ndoano.
mi nipo tayari. njoo pm kwanza nikunong'oneze kabla hatujaendeleaHahahaaaa....kama uko tayari kushare bas na wenzako basi karibu
mi nipo tayari. njoo pm kwanza nikunong'oneze kabla hatujaendelea