Natafuta mume wa kunioa tafadhali

Natafuta mume wa kunioa tafadhali

Mgeni mzoefu huyu sema kabadili tu Jina haiwezekani post ya kwanza iwe kutafuta mume
 
Jana ndiyo umeingia Jamvini,leo thread ya kwanza unataka mume,kwanini usisome kwanza sheria za mchezo? Una hofu na Mungu gani?
hakuna ww...hawa ni walewale wajinga wajinga humu ndani wanaobadilisha badilisha ID zao kuzingua watu.
 
kama ni mgeni, basi bila shaka hata tabia za baadhi ya wanaJf pia hazifahamu. mi namshauri walau awe na subira kidogo aweze kuzisoma tabia za watu mbalimbali wa jf kabla hajaanza hayo mawindo yake!!

Kwa taarifa yako huyo sio mgeni, mgeni si rahisi sana kutaja PM mara moja na kujua matumizi yake.
Lakini khs tabia, nadhani ukisoma hizi posts kwenye hii thread mara moja utajua tabia za wanaume wa JF tulivyo. Just a tip
 
Ukitaka jua majina halisi ya watu weka tangazo kama hilo lazima uwadake wengi sana.
Swali la kujiuliza ni je
Kakosa watu mtaani kwake au kijijini hadi aje mtandaoni?
 
Jana ndiyo umeingia Jamvini,leo thread ya kwanza unataka mume,kwanini usisome kwanza sheria za mchezo? Una hofu na Mungu gani?


Ukute nia ya yeye kujiunga hapa ni ili atafute mchumba na akishapata hamtamuona tena, sasa aanze tena kupoteza muda kwa kuanza kusoma sheria?
 
Ukitaka jua majina halisi ya watu weka tangazo kama hilo lazima uwadake wengi sana.
Swali la kujiuliza ni je
Kakosa watu mtaani kwake au kijijini hadi aje mtandaoni?


Ndugu yangu waume sikuhizi imekuwa issue sio kama enzi za mama zetu walikuw wakimaliza tu shule au college mume huyo, sikuhizi watu wanasotea ile mbaya, jiulize kwanini sikuhiz ma single mother ni wengi, kwasababu wa dada wanasubiri mpaka wanakata tamaa, me mwanamke naelewa exactly wats going on kwa kuwa nina rafiki zangu zaidi ya 10 ambao wanahaha kupata waume, kwa kweli namshukuru Mungu sana alienipa mimi mume kwa njia ya ambao si ya kusumbuka kama hivi
 
Ndugu yangu waume sikuhizi imekuwa issue sio kama enzi za mama zetu walikuw wakimaliza tu shule au college mume huyo, sikuhizi watu wanasotea ile mbaya, jiulize kwanini sikuhiz ma single mother ni wengi, kwasababu wa dada wanasubiri mpaka wanakata tamaa, me mwanamke naelewa exactly wats going on kwa kuwa nina rafiki zangu zaidi ya 10 ambao wanahaha kupata waume, kwa kweli namshukuru Mungu sana alienipa mimi mume kwa njia ya ambao si ya kusumbuka kama hivi



Watafuta Mume wa Mtu ili uolewe naye ? au watafuta Mwanaume atakayekuja kukuoa?
 
Ni pm nipo mwanza na sifa zote ninazo ni pm plz
 
Tatizo lenu wabongo mkiwa na miaka 18 mpaka 25 wanaume mnakuwa mnawakimbia mkisha fikisha miaka 28 na kuendelea mnaona kama mna mkosi eti mmelogwa kisa mmekosa wanaume wa kuwaoa punguza malingo wasichan wa kibongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom