mzee wa ujiji
Member
- Jun 19, 2013
- 78
- 30
bhana nitafute kwenye e.mail yangu [georgebakari@hotmail.com ]
Mbona amekimbia haji kujibu hoja,tutaomba muongozo wa spika!!:flame:
kisha mpata kaka. subiri tangazo lingine..
hebu fafanua vzr tafadhari! Kama elimu,kabila nk na pia elezea elimu yako na uzoefu wako kwenye mapenzi.hope ur not a virgin.all the best.ngoja watakuja tu
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
Nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayepe nda dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi