Natafuta mume wa kuishi nae

Natafuta mume wa kuishi nae

Kwani kakwambia anataka kusaidiwa kulea mwanae???? Na Kama baba mtoto kafa akamfufue???? Uwe unafikiria kabla hujaropoka hauko interested pita kimya kimya sio lazima uharishe.

Msamehe bure...si unajua weekend hii watu wanapost wakiwa maeneo tofauti tofauti..
 
Habari wana Jamii forums.

Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.umri wangu ni Milka 29,Elimu yangu ni shahada ya kwanza.
Nipo kikazi Arusha
Atakayekuwa tayari tuwasiliane PM

Kuna mwanaume kaanzisha uzi hivi karibuni anatafuta mke, bahati mbaya umri hamuendani! Ila yeye kawa jasiri zaidi, kaweka na picha zake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom