Natafuta mume wa kuishi nae

Natafuta mume wa kuishi nae

ka we ni mkristo si uwasiliane na kasisi au wachungaji wa Mungu watakusaidia kwa ilo dada.....

we unamtafutia matatizo kwa huu ushauri wako! aende kwa mchungaji? akamle papuchi yake bure, halafu siku inayofuata mnamtoa kwenye magazeti ya shigongo!! acha hizo wewe!! dada zejame hebu ni pm dada yangu nikupe mume mwenye sifa unazozitaka.
 
Wanawake sikuhizi metugeuza unicef ujana wenu mnakula wenyewe alafi mnataka tushirikiane kwenye malezi..kama unamtoto kwa nini usiolewe na baba mtoto.?huyo mtoto atakua na mababa wa ngapi sasa..ndo maana watoto wanawapiga wazazi wao siku hizi..wazaz hamna maadili..!!
 
Wanawake sikuhizi metugeuza unicef ujana wenu mnakula wenyewe alafi mnataka tushirikiane kwenye malezi..kama unamtoto kwa nini usiolewe na baba mtoto.?huyo mtoto atakua na mababa wa ngapi sasa..ndo maana watoto wanawapiga wazazi wao siku hizi..wazaz hamna maadili..!!

una umri gani?
 
Shabani ponera, other people are most stupid!!
 
All the best dada, wengine tumekosa vigezo
Kwa point ya dini, umri na kuwa na mtoto.
Wengi hawataki watoto wa mume mwingine, unless uweke clear kuwa ukiolewa mtoto akae kwa baba yake au kwa bibi yake. Pia usiwe mnyonge kuisi kuwa ukishakuwa na mtoto unakuwa cheap, ....thamani yako kuwa mama wa watoto wengine wa baba mwingine iko pale pale.

Usihofu kwa majibu mabaya ya kuropoka ya baadhi yetu jf members, utambue kuwa jf INA kila aina ya tabia ya bonadamu ivo uwe na ngozi ngumu kuvumilia. Waambie yana mwisho aya!!

Karibu sana arusha

All the best,
 
Habari wana Jamii forums.

Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.umri wangu ni Milka 29,Elimu yangu ni shahada ya kwanza.
Nipo kikazi Arusha
Atakayekuwa tayari tuwasiliane PM

Wanaume wengine wana bahati kweli, ningekuwa sijaoa nisingekuacha.
 
Vumilia majibu mabaya kutoka kwa watu, lkn mimi nakuombea upate mume mwema mtakao saidiana kuwa na mtoto sio gigezo cha kukosa Mume.
Nakutakia heri na mafanikio
 
we unamtafutia matatizo kwa huu ushauri wako! aende kwa mchungaji? akamle papuchi yake bure, halafu siku inayofuata mnamtoa kwenye magazeti ya shigongo!! acha hizo wewe!! dada zejame hebu ni pm dada yangu nikupe mume mwenye sifa unazozitaka.

Jaribu kuwa na adabu basi katika mambo serious, usipotukana unaona ni hasara sana?
Let ur mind be smart!
 
Wanawake sikuhizi metugeuza unicef ujana wenu mnakula wenyewe alafi mnataka tushirikiane kwenye malezi..kama unamtoto kwa nini usiolewe na baba mtoto.?huyo mtoto atakua na mababa wa ngapi sasa..ndo maana watoto wanawapiga wazazi wao siku hizi..wazaz hamna maadili..!!

Kwani kakwambia anataka kusaidiwa kulea mwanae???? Na Kama baba mtoto kafa akamfufue???? Uwe unafikiria kabla hujaropoka hauko interested pita kimya kimya sio lazima uharishe.
 
una shahada hata kujieleza hujui
bila shaka utakuwa memkwa
kwahy mtu akiwa na miak hy tu tayr unaend kufany nae maisha
## umekosa mwanaume hata huko memkwa,ww ukion hivyo huna vigezo
aliyekup mtt mmoja mpeleke papuch akudunge ya pili

Akili zako zitakuwa haziko sawasawa wewe.
 
Watu wanatafuta waume wa kuolewa nao ila wewe unatafuta wa kuishi nae! Mungu atuhepushe na zinaa hii kabla hapajanuka ya sodoma... bullshit!
 
Baada ya maombi kuwa mengu ningependa utuambie intavyuu itafanyika wapi na lini....na si vibaya ukituwekea majina ya walioingia kumi bora....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom