Natafuta mume wa kuishi nae

Natafuta mume wa kuishi nae

nisile23

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
440
Reaction score
176
Habari wana Jamii forums.

Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.umri wangu ni Milka 29,Elimu yangu ni shahada ya kwanza.
Nipo kikazi Arusha
Atakayekuwa tayari tuwasiliane PM
 
Habari wana Jamii forums.

Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.

Atakayekuwa tayari tuwasiliane.

wewe mwenyewe una age gani? unaishi wapi?
 
Habari wana Jamii forums.

Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.

Atakayekuwa tayari tuwasiliane.

Mimi siyo muhitaji ila jitahidi kujieleza vizuri wasifu wako na umri wako ili upate candidate sahihi.

Good luck!.....
 
Vigezo vya mwanaume umtakaye zaidi ya huo umri uliotaja?

Mfano Ninafaa?
1.
Kame elimu yangu ni darasa la 2
2. Jobless
3. Nina watoto wa 3 kila mmoja ana mama yake?
4. Sijapima afya yangu?
5
 
Habari wana Jamii forums.

Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.

Atakayekuwa tayari tuwasiliane.

Mi nipo tayar ila nina 27 yrs
 
Habari wana Jamii forums.

Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.umri wangu ni Milka 29,Elimu yangu ni shahada ya kwanza.
Nipo kikazi Arusha
Atakayekuwa tayari tuwasiliane PM

una shahada hata kujieleza hujui
bila shaka utakuwa memkwa
kwahy mtu akiwa na miak hy tu tayr unaend kufany nae maisha
## umekosa mwanaume hata huko memkwa,ww ukion hivyo huna vigezo
aliyekup mtt mmoja mpeleke papuch akudunge ya pili
 
una shahada hata kujieleza hujui
bila shaka utakuwa memkwa
kwahy mtu akiwa na miak hy tu tayr unaend kufany nae maisha
## umekosa mwanaume hata huko memkwa,ww ukion hivyo huna vigezo
aliyekup mtt mmoja mpeleke papuch akudunge ya pili

Mnmmh jamani kwani hili jukwaa limewekwa kwa sababu gani?
 
una shahada hata kujieleza hujui
bila shaka utakuwa memkwa
kwahy mtu akiwa na miak hy tu tayr unaend kufany nae maisha
## umekosa mwanaume hata huko memkwa,ww ukion hivyo huna vigezo
aliyekup mtt mmoja mpeleke papuch akudunge ya pili

Dah jamaa mbona una hasira sana? Huko memkwa ndo wapi? I think if u're not interested with the thread u better pass it!
 
wadau msimshambulie,kaweka bandiko liheshimu tafadhali kama haufiti unapiga kimya au unamtakia kila la keheri, kila la kheri dada ila jihadhari na matapeli pia humu
 
Habari wana Jamii forums.

Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.umri wangu ni Milka 29,Elimu yangu ni shahada ya kwanza.
Nipo kikazi Arusha
Atakayekuwa tayari tuwasiliane PM

Ni pm basi tupeane ma contact basi
 
Ulichofanya hapa sio ustaarabu, watu wanapitia changamoto mbalimbali, wewe ndio hujaelimika kwa maana hata namna ya kushriki kwenye forum hujui.
Kulikuwa na haja gani ya kuandika mambo yote hayo.

una shahada hata kujieleza hujui
bila shaka utakuwa memkwa
kwahy mtu akiwa na miak hy tu tayr unaend kufany nae maisha
## umekosa mwanaume hata huko memkwa,ww ukion hivyo huna vigezo
aliyekup mtt mmoja mpeleke papuch akudunge ya pili
 
una shahada hata kujieleza hujui
bila shaka utakuwa memkwa
kwahy mtu akiwa na miak hy tu tayr unaend kufany nae maisha
## umekosa mwanaume hata huko memkwa,ww ukion hivyo huna vigezo
aliyekup mtt mmoja mpeleke papuch akudunge ya pili
Imbecile...!
 
una shahada hata kujieleza hujui
bila shaka utakuwa memkwa
kwahy mtu akiwa na miak hy tu tayr unaend kufany nae maisha
## umekosa mwanaume hata huko memkwa,ww ukion hivyo huna vigezo
aliyekup mtt mmoja mpeleke papuch akudunge ya pili

some people are so stupid!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom