Natafuta mume,umri kati ya 37-42

Natafuta mume,umri kati ya 37-42

Nahitaji mume mwenye uhitaji wa mwanamke. Awe mkristu mcha Mungu, awe mchapa kaza(kazi halali). Awe tayari kupima UKIMWI, awe tayari kuwa baba wa familiaa.

Pm ni kwa mwenye uhitaji tu!

momy Niko tayari pleas kama uko xrious nitafute najua maisha kwa pamoja tutafight tu Barikiwa +255714255432
 
Endelea kungoja... Utangoja sana

ape-man-line-up.gif
 
Nahitaji mume mwenye uhitaji wa mwanamke. Awe mkristu mcha Mungu, awe mchapa kaza(kazi halali). Awe tayari kupima UKIMWI, awe tayari kuwa baba wa familiaa.

Pm ni kwa mwenye uhitaji tu!

Wewe una umri gani? Andika ili tujue, ili iwe rahisi kukupm.
 
Mmmmh vibibi vya jf jamani vikali. sexologist uko wapi ndugu yungu.

Nipo Nipo Ndugu... We si umesema utaoa wa kukutana JF au???? Sasa mtoto huyooooooooooo kaja mwenyewe, tena hajawahi hata kidogo.. Panabanaaaaa.......

Kaaaaaaaz ni kwako.
 
Nahitaji mume mwenye uhitaji wa mwanamke. Awe mkristu mcha Mungu, awe mchapa kaza(kazi halali). Awe tayari kupima UKIMWI, awe tayari kuwa baba wa familiaa.

Pm ni kwa mwenye uhitaji tu!

unatafuta mume ama "mume wa mtu"? maana ata that age wanaume wengi washaseto na familia,, waliobaki ndo wale mabachela for life, hata wakioa kwa kulazimishwa kiuhalisia hubaki mabachela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom