Natafuta Mume Umri 38-43: Mrejesho

Natafuta Mume Umri 38-43: Mrejesho

LadyDD

Member
Joined
Jun 10, 2014
Posts
34
Reaction score
17
Wakuu nawashukuru kwa uwepo wenu.

Nimerudi hapa kwa mara nyingine kutoa mrejesho wa uzi wangu niliopost hapa kutafuta rafiki na Mume.

Kwanza, ninamushukuru Mungu kwa yote. Pili ninashukuru uwepo wa Jamii Forums kwa kunikutanisha na mtu ambaye ameufanya moyo wangu ugusike, asante love, sina la kusema zaidi namuomba Mungu atusimamie na kutuongoza.

Ningependa tu kusema kwamba, kwa wale wanaotafuta wenza, humu pia kuna potential candidates wengi tu ni wewe tu kuwa makini na kufanya homework yako vizuri. Mapenzi ni risk haijalishi mmekutana wapi.

Asanteni na mbarikiwe sana.

Viva Jamii Forums.

 
Wakuu nawashukuru kwa uwepo wenu,

Nimerudi hapa kwa mara nyingine kutoa murejesho wa uzi wangu niliopost hapa kutafuta rafiki na Mume.

Kwanza, ninamushukuru Mungu kwa yote. Pili ninashukuru uwepo wa JF kwa kunikutanisha na mtu ambaye ameufanya moyo wangu ugusike, ahsante love, sina la kusema zaidi namuomba Mungu atusimamie na kutuongoza.

Ningependa tu kusema kwamba, kwa wale wanaotafuta wenza, humu pia kuna potential candidates wengi tu ni wewe tu kuwa makini na kufanya homework yako vizuri. Mapenzi ni risk haijalishi mumekutana wapi.

Ahsanteni na mubarikiwe sana!

Viva JF

Hongera kwa kupata rungu
 
Back
Top Bottom