Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,756
- 42,659
Dah sawa tu 😅😅Mtajijua kama mwaangalia kwa macho tu😎
Dah sawa tu 😅😅Mtajijua kama mwaangalia kwa macho tu😎
Ni kama ivi,nikichat nawe hapa watu wajua huyu tayari kachukuliwa...kumbe ni vituko vyangu tu na havina madhara...kiukweli nimechoka kulala pekeyangu 😊Dah sawa tu 😅😅
Tatizo umewafungia vijana PM, wanashindwa jinsi ya kukupata.Ni kama ivi,nikichat nawe hapa watu wajua huyu tayari kachukuliwa...kumbe ni vituko vyangu tu na havina madhara...kiukweli nimechoka kulala pekeyangu 😊
Watu wanataka kula Fao tu70?? unataka mume, au kitega uchumi??
hana hata haya.... 😂Watu wanataka kula Fao tu
Wawe tayari na boga lake waambieTatizo umewafungia vijana PM, wanashindwa jinsi ya kukupata.
Mimi ngoja niwahakikishiee, Jimbo liko wazi, mwenye uhitaji aje kutupia ndoano.
Hawana shida, ww Kaa tayari kuanza kupokea maombiWawe tayari na boga lake waambie
Miaka 70 ili akuchie mali.Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Na sisi wa mrabaha vip tunahusika ?Haya wale wa vikokotoo kazi kwenu..mtoto huyo hapo.
hakika siku nikibahatisha kufumania nyavu humu nitafanya sherehe kubwaa sanaa 😄😄Unawala kimasihara mnoo na wanaambiana mkuu🤣🤣
Naomba tuwasilianeWakati unakula ujana ulisema hutaki kuolewa sasa baada ya kuzalishwa na uzee unakaribia ndio unatafuta mchumba kwani wale uliokuwa nao ujanani hawakutaki kwa nini.