Natafuta mume ila awe na mtoto

Natafuta mume ila awe na mtoto

Kila la kheri! nimependa ujasiri wako wa kumpenda mtoto wa mwanamke mwenzio kama wa kwako maana huu ni mtihani mgumu sana kwa wanawake wengi.

Sijafurahishwa pia na maandishi ya kejeli ya baadhi ya watu kwa kusahau kwa makusudi kabisa ya kuwa ''hujafa hujaumbika'' Maneno kama ''mgumba'' si maneno mazuri. Watu waliokosa watoto kwa sababu mbalimbali wanahitaji faraja, upendo, kutiwa moyo,nk. na sio kuwakejeli na kuwatukana.
 
Izo ni mbinu tu anajua mwenyew kwani mwenye mtoto ,tuache ivo tuone akifanikiwa kumpata na wengine mwiigilizie
 
Habari,

Nami leo nimeamua kujitokeza jamvini kutafuta mume ambae atakuwa wangu wa maisha naamini nitampata kupitia jukwaa hili.

Mimi ni binti mwenye miaka 28 muislam natafuta mume lakini awe na mtoto na awe tayari mtoto wake awe kama wakwangu tuishi kwa amani na upendo.

Sina vigezo vingi sana ila umri ni kuanzia miaka 30-35 na awe tayari kupima afya.

Asanteni


ili uwe unamtuma dukani? ww huna au unatatizo gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom