Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,146
Ohooooo! na salama za kwake tena? kiswahili kigumusalama za kwako
Ohooooo! na salama za kwake tena? kiswahili kigumusalama za kwako
kiswahili kiache tuOhooooo! na salama za kwake tena? kiswahili kigumu
mkaa upo wapi?Mungu mwema anajalia Dada yangu!
samahani kama kuna mtu anahitaji mkaa basi niunganishe nae
ha ha ahaaaaa Kwa kwelikiswahili kiache tu
upo Mzizima (zamani Dar es salaam) huku Changinyikeni Chuomkaa upo wapi?
Awe hajaoa,,naamini wapo wenye watoto na siyo wazinzi manaYaani awe na mtoto lakini asiwe na mke? au unatafuta mume mgane? au mzinzi mwenye mtoto bila mke? Which is which?
Uwezo wa kuzaa ninao hata watoto kumi...Ni kwa sababu umejigundua wewe huna uwezo wa kuzaa wa kwako au?ni ngumu mwanamke kutunza kwa moyo wa dhati mtoto asiyemzaa ..kulikoni???na huyo mume mwenye mtoto tuseme ndio mshaoana ndani ya miaka miwili akikuletea mtoto wa miezi sita utamfanyaje???
haya ngoja niulizeupo Mzizima (zamani Dar es salaam) huku Changinyikeni Chuo
Mbona unakejeli,mtu kusema anahitaji mwenye mtoto ndo hana kizazi?usimkufuru Mungu mimi siyo mgumba.wewe ni Wema? kizazi kwishneyyyy? pole sana
Mimi Ni Mtu Wa Pwani Mkuu Na Hiyo Kauli Yako Kuwa Nikaribie Unipige Mbili Tatu Imenipa UKAKASI. Hebu Nifafanulie Mkuu Nikuelewe Vizuri!

Duh nyakahura???Mkuu karibu hapa Nyakahura tupige mbili-tatu (kama huto-mind lakini)