Natafuta mume "aibu yako aibu yangu"

Natafuta mume "aibu yako aibu yangu"

zendindi

Member
Joined
Aug 11, 2016
Posts
29
Reaction score
23
Mimi ni mdada, miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini, si mrefu simfupi maji ya kunde . Nina tatizo la uzazi

Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo.
_tatizo. La uzazi,
_Umri 30 _40
_Mwajiriwa au mjasiriamali, mkristo, tayari kwa ndoa na kupima VVU .

Kwa maelezo zaidi PM
 
Mimi ni mdada ,miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini,siimrefu simfupi maji ya kunde.
Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo .
_uume nbogo ,upungfu wa nguvu za kiume umri 30 _40 ,mwajiriwa/mjasiriamali,mkristo,tayari kwa ndoa na kupima VVU .kwa maelezo zaidi PM
Fanya kazi kwanza, asubuhi hii jamani! au we ni dume unaleta mchezo wa kuidhalilisha JF kuwa uwanja wa wapuuzi!
 
Pale kidume mzima anapoandika ujinga kwa kujifanya mwanamke asiyejielewa.

Huu muda si ukatumie kufanya usafi mtaani kwako?
 
Mimi ni mdada ,miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini,siimrefu simfupi maji ya kunde.
Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo .
_uume nbogo ,upungfu wa nguvu za kiume umri 30 _40 ,mwajiriwa/mjasiriamali,mkristo,tayari kwa ndoa na kupima VVU .kwa maelezo zaidi PM
Kwa huu uandishi,Goodluck to you
 
Mimi ni mdada ,miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini,siimrefu simfupi maji ya kunde.
Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo .
_uume nbogo ,upungfu wa nguvu za kiume umri 30 _40 ,mwajiriwa/mjasiriamali,mkristo,tayari kwa ndoa na kupima VVU .kwa maelezo zaidi PM

Acha dhihaka mkuu kwa vibamia na wenye upungufu wa nguvu za kiume hawakupenda kuwa hivyo na ukumbuke maneno huumba, pale utakapopata wa hizo sifa usirudi hapa kulialia.

MUNGU ANAKUONA
 
Mimi ni mdada ,miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini,siimrefu simfupi maji ya kunde.
Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo .
_uume nbogo ,upungfu wa nguvu za kiume umri 30 _40 ,mwajiriwa/mjasiriamali,mkristo,tayari kwa ndoa na kupima VVU .kwa maelezo zaidi PM
Soon hayo matatizo ulizoandika yatakua yako...goodluck
 
Mimi ni mdada, miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini, si mrefu simfupi maji ya kunde.

Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo.
_Shida ya uzazi,
_Umri 30 _40
_Mwajiriwa au mjasiriamali, mkristo, tayari kwa ndoa na kupima VVU .

Kwa maelezo zaidi PM
Mkuu tupia namba ya watssap.
 
Nashindwa kuelewa my dear kama upon disparate kiasi hiki?anyway ni mtazamo siwezi jus ni jinsi gani umehangaika kwa hili ila kumbuka mume mwema hutuka kwa mungu wakati ukifika utaolewa tu.otherwise its need busara.wanaume fursa hii ila please msipite kwa kumjaribu huyu Dada wala kimkejeli msaidieni kimawazo na hitaji lake.all the best
 
Mimi ni mdada, miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini, si mrefu simfupi maji ya kunde.

Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo.
_Shida ya uzazi,
_Umri 30 _40
_Mwajiriwa au mjasiriamali, mkristo, tayari kwa ndoa na kupima VVU .

Kwa maelezo zaidi PM

muone
jf BIBIdole.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom