Kuntankite
Member
- Sep 17, 2021
- 8
- 2
Hello waungwana,
Nipo mkoani Arusha. Nina mtaji wa vifaa vya Lab ila gharama ya kulipa pango na pia kurekebisha chumba pesa imeniishia. Sasa basi kama na wewe una ndoto hiyo naomba tushirikiane.
Site ni nzuri Sana iko palipochangamka pia sehemu yenye population kila wiki mnada rahisi mno kujulikana mara moja.
Hatua za kufungua zishafanyika ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mratibu wa Maabara wilaya anajua pia ashakagua eneo.
Stage iliyopo kuingia kwenye mfumo kufanya application tu.
Pesa imeniishia, kama uko interested nicheki
Nipo mkoani Arusha. Nina mtaji wa vifaa vya Lab ila gharama ya kulipa pango na pia kurekebisha chumba pesa imeniishia. Sasa basi kama na wewe una ndoto hiyo naomba tushirikiane.
Site ni nzuri Sana iko palipochangamka pia sehemu yenye population kila wiki mnada rahisi mno kujulikana mara moja.
Hatua za kufungua zishafanyika ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mratibu wa Maabara wilaya anajua pia ashakagua eneo.
Stage iliyopo kuingia kwenye mfumo kufanya application tu.
Pesa imeniishia, kama uko interested nicheki