Natafuta mtu wa kukata Miti

Zanzibar ukiukata mbuyu bila ya kibali unashtakiwa
Kwaio nakushauri kaulizie kwanza isije kua na huko bara ni ivo ivo
 
Zanzibar ukiukata mbuyu bila ya kibali unashtakiwa
Kwaio nakushauri kaulizie kwanza isije kua na huko bara ni ivo ivo
Mbona ule mti pale st.peter oysterbay wanapojenga mwendokasi haukatwi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…