Natafuta mtu wa kuchat naye

Natafuta mtu wa kuchat naye

Karibu, ntakuwa miongoni mwao(tayari nimeshaku-email). Ila nawaogopa tu wale wanigeria wanaume wanaojifanya wanawake kumbe matapeli.
 
Ha ha ha.. Kila ciku mnajifanya kutafuta mademu wapya kisa hawa wa humu hawalipi.. Leo amejitokeza kitu kipya kabisa ambacho bado kiko kwenye manailoni.. mnaanza kugwaya..
saudari kuja pande hii.. Najua wewe huwezi kuniangusha.. Ipo kitu mpya hapa.. Achana na hawa akina Paloma.. Wanaringa sana..
 
Last edited by a moderator:
Bi dada vipi tena? nimekutusi?

Aiseee watu8 umedondoshewa zigo la hasira.. Kama ni zako au umekuwa on da wrong end ya huyu dada still nakupa pole.. Labda atajibu kwanini ameamua kukushukia kama mwewe..
 
Last edited by a moderator:
Best hebu jongea PM tuchat....topic itakuwa Kilimo kwanza.

Haha haaaaaa..

Na mvua zishaanza lolz. Ngoja nije best angu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kaka sijui hata ana stress gani....nimebaki kuduwaa tu!

Aiseee watu8 umedondoshewa zigo la hasira.. Kama ni zako au umekuwa on da wrong end ya huyu dada still nakupa pole.. Labda atajibu kwanini ameamua kukushukia kama mwewe..
 
Last edited by a moderator:
Lol. Kwani wewe email yako inashika wapi na wapi hapa tz? Naomba kuchat na wewe

Kigilitaz! Miswali kibwena ya nini kwa mgeni? Huyu ni nduguye mary hunbig!
Chatini nae tu.
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana ww ni mwanaume bhana hivi watu bado wanachat kwa emails tu?
 
We bi dada bado nakuuliza kwa nini umeamua kunitusi???

Kuna tusi hapo? unasema nina stress; hayo ni mawazo yako tu na si lazima yawe sahihi. Kiufupi mpaka nimekujibu hivyo nimekuona sio mara yako ya kwanza kujitia ujuwaji humu, sijafurahiwa na tabia yako ya kila siku kujifanya wewe ndio jogoo humu JF wakati wewe ni binadamu tu tena mkosaji na wa kawaida kama wengine. Kujifanya wewe ndio mtoa makavu live is nothing but kujikweza kusiko na maana. Ukielewa usipoelewa ni juu yako lakini ukweli nimekwambia. Usitegemee jibu lingine toka kwango. byee
 
Eboh!!! Hahahahah....muoneni huyu kwiiii kwiiii!!
Naona umejitahidi kupaka rangi upepo...
Umekuja mbio kama shuzi la kiporo cha mandondo...
Tatizo humjui watu8 ni nani, kwa kuwa muda wote upo busy na hicho kishungi kama brashi ya chachandu...
Grow some balls and understand the platform u're in...hapa ni CC
Khaa mrembo uwe wewe, mbona mbwa wote wataswaki???

Kuna tusi hapo? unasema nina stress; hayo ni mawazo yako tu na si lazima yawe sahihi. Kiufupi mpaka nimekujibu hivyo nimekuona sio mara yako ya kwanza kujitia ujuwaji humu, sijafurahiwa na tabia yako ya kila siku kujifanya wewe ndio jogoo humu JF wakati wewe ni binadamu tu tena mkosaji na wa kawaida kama wengine. Kujifanya wewe ndio mtoa makavu live is nothing but kujikweza kusiko na maana. Ukielewa usipoelewa ni juu yako lakini ukweli nimekwambia. Usitegemee jibu lingine toka kwango. byee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom