Natafuta mtu anayeweza ku connect free internet kwa Android

Natafuta mtu anayeweza ku connect free internet kwa Android

simple tu ndugu,ni hivi

nenda kwenye browser yako unayoitumia ya internet kwenye simu yako halafu andika 'www.freebasics.com',ukishaiandika click,itafunguka hata kama simu haina bundle,ikishafunguka utaona link mbalimbali zinaonekana kama vile zoomtanzania,jamiiforums,bbc swahili na nyingine nyingi sana za free,ukishaziona unafungua unayotaka unatiritika tu,tokea nilivyoujua huo ujanja sijawahi kuweka bundle ya interner kwa ajili ya hizo links,cha msingi simu yako iwe na uwezo mzuri wa internet angalau wa 3g,ikikubali usisahau kunitumia muda wa maongezi kwa kukupa maujanja haya,jaribu mkuu halafu uje unipe mrejesho
 
"E="steveachi, post: 18863909, member: 59397"]simple tu ndugu,ni hivi

nenda kwenye browser yako unayoitumia ya internet kwenye simu yako halafu andika 'www.freebasics.com',ukishaiandika click,itafunguka hata kama simu haina bundle,ikishafunguka utaona link mbalimbali zinaonekana kama vile zoomtanzania,jamiiforums,bbc swahili na nyingine nyingi sana za free,ukishaziona unafungua unayotaka unatiritika tu,tokea nilivyoujua huo ujanja sijawahi kuweka bundle ya interner kwa ajili ya hizo links,cha msingi simu yako iwe na uwezo mzuri wa internet angalau wa 3g,ikikubali usisahau kunitumia muda wa maongezi kwa kukupa maujanja haya,jaribu mkuu halafu uje unipe mrejesho[/QUOTE]
"
Kwa freebasics kuna sites maalum sio kila site utaweza kuperuzi mkuu.

Au ukishafungua hiyo address utaweza kufanya chochote kwenye internet kiongozi...?
 
tusidanganyane proxy server haiwez kukupa free internet...
Ha ha ,😀😀Pole sana mkuu kwann unachangia thread kama hiz wakat kichwan unajua knowledge ya networking huna?. Nenda kachangie thread za udaku na mabongo fleva, mbona zipo nying tu
 
simple tu ndugu,ni hivi

nenda kwenye browser yako unayoitumia ya internet kwenye simu yako halafu andika 'www.freebasics.com',ukishaiandika click,itafunguka hata kama simu haina bundle,ikishafunguka utaona link mbalimbali zinaonekana kama vile zoomtanzania,jamiiforums,bbc swahili na nyingine nyingi sana za free,ukishaziona unafungua unayotaka unatiritika tu,tokea nilivyoujua huo ujanja sijawahi kuweka bundle ya interner kwa ajili ya hizo links,cha msingi simu yako iwe na uwezo mzuri wa internet angalau wa 3g,ikikubali usisahau kunitumia muda wa maongezi kwa kukupa maujanja haya,jaribu mkuu halafu uje unipe mrejesho
Hii inawezekana vipi huna bundle alafu unaingia kwenye link na ikakubali mkuu?!
 
"E="steveachi, post: 18863909, member: 59397"]simple tu ndugu,ni hivi

nenda kwenye browser yako unayoitumia ya internet kwenye simu yako halafu andika 'www.freebasics.com',ukishaiandika click,itafunguka hata kama simu haina bundle,ikishafunguka utaona link mbalimbali zinaonekana kama vile zoomtanzania,jamiiforums,bbc swahili na nyingine nyingi sana za free,ukishaziona unafungua unayotaka unatiritika tu,tokea nilivyoujua huo ujanja sijawahi kuweka bundle ya interner kwa ajili ya hizo links,cha msingi simu yako iwe na uwezo mzuri wa internet angalau wa 3g,ikikubali usisahau kunitumia muda wa maongezi kwa kukupa maujanja haya,jaribu mkuu halafu uje unipe mrejesho
"
Kwa freebasics kuna sites maalum sio kila site utaweza kuperuzi mkuu.

Au ukishafungua hiyo address utaweza kufanya chochote kwenye internet kiongozi...?[/QUOTE]

Mimi sijasema ni kila site mkuu,angalia vizuri bandiko langu,zimewekwa baadhi ambazo kwa wengine ni muhimu
 
"
Kwa freebasics kuna sites maalum sio kila site utaweza kuperuzi mkuu.

Au ukishafungua hiyo address utaweza kufanya chochote kwenye internet kiongozi...?

Mimi sijasema ni kila site mkuu,angalia vizuri bandiko langu,zimewekwa baadhi ambazo kwa wengine ni muhimu[/QUOTE]

Mada inazungumzia free internet kwa android phones na hata post yako ilivyoanza imenikanganya kidogo, anyway.

Zoomtanzania haipo kwenye [HASHTAG]#freebasics[/HASHTAG].
 
asanteni, wajameni freebasic nakula net bila bundle ila wasap nimeshindwa kupata
 
asanteni, wajameni freebasic nakula net bila bundle ila wasap nimeshindwa kupata

Hiyo net unayokula bila bundle kwani ni kwa website zote kupitia hiyo freebasics...?

Whatsapp wanayo package ya kujiunga kwa mwezi mzima Tsh. 2000 unapata 3GB only for whatsapp & fb. Ila kwa kuwa fb ipo kwenye freebasics therefore hizo 3GB unaweza tumia for whatsapp tu.

NB: Hiyo package ni kwa watumiaji wa tigo tu. Thanks.
 
Kwangu hiyo freebasics mbona inagoma?

Unatumia browser gani mkuu...?

Anyway, kama ni Opera ukifungua tu utakuta tab ya Freebasics ipo pale uki-click tu utakuwa kwenye list za site ambazo zinatumika kwenye freebasics.

Ila kama unatumia browser nyingine nenda kwenye sehemu ya kuandikia URL address ya website kisha andika zero dot freebasics dot com

i.e 0.freebasics.com au click hiyo link itakupeleka huko unapopataka mkuu.

Karibu.
 
Back
Top Bottom