Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 212
- 370
Umesomea utangazaji? Mbona naambiwa wewe ni Injinia.Wewe nae miyeyusho hela ya maji yapi ? Nije chap mwendo wa ngiri mkia juu
Hahaha Ndo uje PM tuyajengeWewe nae miyeyusho hela ya maji yapi ? Nije chap mwendo wa ngiri mkia juu
Mkoa: Dar es salaam, Jinsia: Yoyote, kwa sasa bado nipo kitaifa.Mkoa gani,jinsia gani na micho kwa nganz ipi kitaifa au kimataifa nikuunganishe na mtu yupo uko moro amejishikiza kwenye redio flan ya mtume
Maji kwangu ni Louis XIII de Remy Martin (Cognac), hapo naweza anza kazi hata kesho bwasheeHahaha Ndo uje PM tuyajenge
Bwashee ni mkemia wa kupima value🤣Umesomea utangazaji? Mbona naambiwa wewe ni Injinia.
Sisi tuliosoma history ya uwongo na kweli tukisikia neno kemia huwa tunatoka nduki.Bwashee ni mkemia wa kupima value🤣
Bwashee mbona kemia ni kama kumsukuma mlevi wa visungura tu, yani unachanganya changanya vodka na nyangi kutoa kitu tuSisi tuliosoma history ya uwongo na kweli tukisikia neno kemia huwa tunatoka nduki.
Duh!Maji kwangu ni Louis XIII de Remy Martin (Cognac), hapo naweza anza kazi hata kesho bwashee
Wakati niko from four ilibaki kidogo sana niunguze Laboratory. Nilichanganya vitu zaidi ya kumi kwenye test tube 🤣Bwashee mbona kemia ni kama kumsukuma mlevi wa visungura tu, yani unachanganya changanya vodka na nyangi kutoa kitu tu
Mbona mnahama mada?Bwashee mbona kemia ni kama kumsukuma mlevi wa visungura tu, yani unachanganya changanya vodka na nyangi kutoa kitu tu
Nipo field kituo kimoja cha habari huku MikindaniDogo Al-mukheef amemaliza chuo juzi na amesomea uandishi wa habari.
Dogo Yuko deep katika uchambuzi wa soka (kuanzia la nyumbani hadi la ulaya).
Hela ya maji ndiyo shilingi ngapi? Nyoosha maelezo. Kama huna hela ya kueleweka ya kumlipa huyo mtangazaji, fanya hilo jukumu wewe mwenyewe. Kwa maana bado hujafikia hatua ya kuitwa mwajiri.Kwema wakuu.
Natafuta mtangazaji wa media yangu ya online. Media inahusu michezo, hivyo nahitaji mtu wa kunisadia kufanya mahojiano na mashabiki, preview za kabla na baada ya mechi, nk
Media yangu bado changa, lakini licha ya hivyo nitajitahidi mtangazaji asikose hata hela ya maji😎
Kama ni wewe au unamfahamu mtu anayesomea au aliyesomea utangazaji na anapenda michezo kinomanoma naomba tuwasiliane PM.
Asanteni sana!
wataenda kugombana tu kama hana hela ,vifaa vyenyewe usikute ana laptop moja icore 7 na smartphone ya google pixel,anasema ana mediaHela ya maji ndiyo shilingi ngapi? Nyoosha maelezo. Kama huna hela ya kueleweka ya kumlipa huyo mtangazaji, fanya hilo jukumu wewe mwenyewe. Kwa maana bado hujafikia hatua ya kuitwa mwajiri.
ofc zako ziko wapi ,dogo ajeKwema wakuu.
Natafuta mtangazaji wa media yangu ya online. Media inahusu michezo, hivyo nahitaji mtu wa kunisadia kufanya mahojiano na mashabiki, preview za kabla na baada ya mechi, nk
Media yangu bado changa, lakini licha ya hivyo nitajitahidi mtangazaji asikose hata hela ya maji😎
Kama ni wewe au unamfahamu mtu anayesomea au aliyesomea utangazaji na anapenda michezo kinomanoma naomba tuwasiliane PM.
Asanteni sana!