Utaweza mazoezi....jide alikuja kuuza sura na katusaidia kitutangaza chuo chetu. Ila bado sana maana yuko bize na anaogopa mazoezi magumu
Nenda msikiti wowote ulio karibu yako.
nipo serious jamani
Nenda Msikiti wa magomeni
kwani Mazoezi magumu ndio karate? Nyie ndio mnaaribu filosofia na falsafa nzima ya Karate, the way unavyoongea akija mtunwa miaka 50 hautaweza kamwe kumfundisha karate kwani akili yako iko kwenye kurusha watu kichura na kuwapanua misamba kwa nguvu
Uko sawa watu wengi wanapenda kutishia watu lakini hili ni jambo la kawaida mno.Lakini huyu anayetaka kujifunza sio kwamba anataka ujuzi wa kukaba na kupora?Haya mambo lazima tuwe makini kidogo!!
duh kwa hiyo unamshauri a copy na ku paste bruce lee movessssAngalia muvi za Bruce lee usiku kucha usilale atakutokea na kuanza kukufundisha kati ya saa 9 na saa 9.55 usiku uwe na kole kibao cha kupigia ngumi
seriously Morogoro Muslim wanatoa iyo coarse changamkia fursa
Nenda Msikiti wa magomeni