sio kwamba nataka kukaba na kupora,mimi mwenyewe ni karateka ila ninachotaka kujua ni kuhusu kung fu(shaolin)
Sawa bana naona hata jina lako,nimeona wengine wanataka kupiga makonda kisa mia nne ngumu!!jf kuna vituko si haba
sio kwamba nataka kukaba na kupora,mimi mwenyewe ni karateka ila ninachotaka kujua ni kuhusu kung fu(shaolin)
Mi zaid yako....nafundisha kung fu pandaNjoon kwangu nafundisha kung fu..judo...karate...tai chi....mieleka....ong bak....uninja na ukomando
kuna vitu nilitaka kufahamu kuhusu kung fu,yoyote aliye tayari ani inbox
ni kweli kabisa,sensei alishawahi kusema hila sual...kama unajifunza kwa ajili ya kupigana na watu basi usije shangaa hujui kamwe na ukilianzisha mtaani basi umerikologa,utapigwa we mpaka uahibike na ushike adabu.
lady jay dee anafanya kama fashion yule.na vyuo vingi vya karate viko kibiashara zaidi.just for attracting people to join,na kuwatunukuu vyeti huku hawajapata nondoz zaidi
pale tanganyika packars kuna dojo,tegeta,salasala,manzese,na kwa sensei ringo,ilikuwaga mwenge kama sikosei,nadhan ndiyo yupo lady jay dee huko.mtoa maada unakaa wapi kwani na unapenda ujifunzie maeneo gani
Kungfu na karate sio effective katika streetfight.Ukijifunza hyo ni sawa na kupoteza muda
Nakushauri ujifunze Krav Maga,Systema na Judo.
Kungfu na karate sio effective katika streetfight.Ukijifunza hyo ni sawa na kupoteza muda
Nakushauri ujifunze Krav Maga,Systema na Judo.
ni kweli kabisa,sensei alishawahi kusema hila sual...kama unajifunza kwa ajili ya kupigana na watu basi usije shangaa hujui kamwe na ukilianzisha mtaani basi umerikologa,utapigwa we mpaka uahibike na ushike adabu.
lady jay dee anafanya kama fashion yule.na vyuo vingi vya karate viko kibiashara zaidi.just for attracting people to join,na kuwatunukuu vyeti huku hawajapata nondoz zaidi
pale tanganyika packars kuna dojo,tegeta,salasala,manzese,na kwa sensei ringo,ilikuwaga mwenge kama sikosei,nadhan ndiyo yupo lady jay dee huko.mtoa maada unakaa wapi kwani na unapenda ujifunzie maeneo gani
Naomba kusahihisha jambo.
Hakuna sanaa ya mapigano ambayo ni bora zaidi ya nyingine. Msanii ndio huwa bora. Ni kama sanaa ya muziki. Haijalishi unaimba muziki gani, wewe kama msanii ndio waweza kusababisha muziki wako kupendwa au kuchukiwa.
Nitatoa mfano wa wasanii wa sanaa ya mapigano walio shawishi watu kujifunza baadhi ya sanaa zao:
Jackie Chan-Kungfu(Drunken & Snake)
Bruce Lee-Jeet Kune Do
Jet Lee-Wushu
Van Damme-Shotokan Karate
Tony Jaa-Muai Thai & Tae Kwon do
Scott Adkin(Boyka)-Kick Boxing&Tae kwon do
Shoku Sugi-Ninjitsu
Steven Seagal-Aikido
Donie Yen-Judo,Wushu & Wing chun
Hao ni baadhi tu. Leo hii kuna maelfu ya watu wanaojifunza hizo sanaa kwa ushawishi wa hao watu.
Kwa hiyo haijalishi utajifunza sanaa gani ila wakati wote kumbuka kuwa,'Sanaa haimfanyi mtu bali mtu ndiye huifanya Sanaa'.
Kila lakheri.
Habari wanaJF, Natafuta mtaalam yeyote wa kung fu!
Muelekeze Pia akitaka kua shoga aende kanisa gani.
mburula ni mburula tu sasa morogoro muslim ndo kitu gani?