martial arts
Senior Member
- Jun 26, 2014
- 191
- 100
Habari wanaJF, Natafuta mtaalam yeyote wa kung fu!
mimi pia nahitaji mkuu, ukimpata niambie naona watu wanaleta utani, jana nimeona kijana anaonewa na askari nikaumia sana, hapo ndo nikapatia wazo la kujifua na nilikuwa nianzishe uzi umeniwahi tu.nipo serious jamani
mimi pia nahitaji mkuu, ukimpata niambie naona watu wanaleta utani, jana nimeona kijana anaonewa na askari nikaumia sana, hapo ndo nikapatia wazo la kujifua na nilikuwa nianzishe uzi umeniwahi tu.
mtafute lady jay dee
Jamani mkimpata huyo mkufunzi mnishtue na mimi maana makonda wanazidisha utani...
Hahahahah...anajua eti ee?hat mim nitamtafuta
Huwez kumpata...huwa hawajitangaz......na kung-fu is for self defense.....Cempai dö
ngoja nisubirie hadi mwisho wa mjadala ndo nijitokeze
Mjapan baadae tupe msaada sisi learners na ambao wanataka kujiunga. Nakubali sana mapigo yako ya taikondo
ni kweli kabisa,sensei alishawahi kusema hila sual...kama unajifunza kwa ajili ya kupigana na watu basi usije shangaa hujui kamwe na ukilianzisha mtaani basi umerikologa,utapigwa we mpaka uahibike na ushike adabu.Wengi wanasahau mafunzo ya kunfu ni for self defense. Huwezi kufanikiwa ukiwa na wazo la kuanza kujifua kwa lengo la kudhibiti watu