Natafuta mtaalam/mganga wa ukweli

Natafuta mtaalam/mganga wa ukweli

Unahitaji maombi ya dhati mtoa mada.

Piga magoti nikuombee
 
Ni Pm number yako ni kuelekeze handeni kwa mtaalamu mmoja hivi.
Mkuu ninaomba tuwasiliane PM ninahitaji huyu mtaalam. Ukweli kuna mambo mengine hayahitaji kwenda hospital za kawaida. Wataalam wapo hata vitabu vya imani vimeweka wazi. Please, assist me please.
 
Kwanza kabisa wataalamu ni kama madaktari. Kuna mwingine anaweza kutibu mgonjwa wa moyo, mwingine wanawake, mwingine watoto n. k hivyo ni vizuri ukatafuta ambaye moja kwa moja ni mtaalam wa matatizo ya aina yako. Pili nikushauri uende kwenye maduka makubwa / ya kuaminika ya dawa za mitishamba wale huwa wanawajua waganga kwa sababu ni wateja wao. Pole sana kaka
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo
Niko hapa
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo

Mungu akupe wepesi. Kesi ya baba mkwe unampelekea mama mkwe. The devil is the master of deception.

Tatizo kubwa ni kwamba binadamu huwa tunapenda njia za mkato sana. Piga goti chini mpaka livuje damu uone kama Mungu hatashuka kutoka kwenye kiti chake cha enzi.

Mganga anaaminishwa na shetani kuwa anasaidia binadamu...masikini. Anakupa A, lakini anakunyang'anya B.
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo
Mtu anaweza kua anatambua wataalamu zaidi ya kumi,na wanakuwepo wa kutatua matatizo mbalimbali,usipoweka shida zako hapa watu wajue uzito wa swala lako wampe mtaalamu gani utajikuta unapasua kichwa badala ya goti
 
hawa hapa cc mshanajr mzizimkavu LIKUD.. kila lakheri

ila kumbuka amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake amelaaniwa....
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo
Mganga Mungu tu ndugu yangu
 
Mungu akupe wepesi. Kesi ya baba mkwe unampelekea mama mkwe. The devil is the master of deception.

Tatizo kubwa ni kwamba binadamu huwa tunapenda njia za mkato sana. Piga goti chini mpaka livuje damu uone kama Mungu hatashuka kutoka kwenye kiti chake cha enzi.

Mganga anaaminishwa na shetani kuwa anasaidia binadamu...masikini. Anakupa A, lakini anakunyang'anya B.
kuna matatizo yanachanganya hadi unaona kama Mungu kakusahau vile.......majaribu ni mtaji.
 
N
kuna matatizo yanachanganya hadi unaona kama Mungu kakusahau vile.......majaribu ni mtaji.
Kweli Mkuu. Ninamuelewa sana, tena sana. Ndio maana nikasema Mungu ampe wepesi. Kkwa sababu comment Yangu imetokana na p'personal experience' na imetoka kwenye chembe ya moyo Wangu. Mitihani ya dunia iliwahi kunichanganya saaana, mpaka nikawekwa unyumba na mganga katika kuhangaika kutafuta msaada, tena Wa handeni, huyo jamaa ni 'noma' kwa lugha rahisi ya kueleweka. Mpaka kuja kuchomoka kwenye hiyo dunia, ni kwa kupiga magoti HASA. Kwa hiyo najua ninachokiongea. Ni historian ndefu sana.
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo
Umejiunga leo leo na leo leo unatafuta Mganga wa jadi? Hebu nitafute nitaweza kukusaidia ukihitaji huduma yangu bonyeza hapa.Mawasiliano
 
Hello, kama uko serious kabisa, naomba nicheki kwa 0787322402 , ila inabidi ufunge safari mpaka songea, but nakuhakikishia utarudi unipe zawadi, karibu ndugu katika ulimwengu huu.
NI mganga asiye na longo longo kabisa
 
Back
Top Bottom