Master detectie
Member
- Mar 4, 2011
- 34
- 3
- Thread starter
- #41
Samahani wanajamii wenzangu kama sikueleweka. Niliposema kasoro, sina maana kuwa sitaki msichana kutoka MBY bali nilimaanisha umri wangu ni miaka 26 kasoro.
ha ha ha! Umeamua kunichana live.
Haya bwana.
Simba kabisa??
Jamani mbona wengine tupo form 5?Alafu mapenzi sio elimu...usishangae akaopoa profesa!Kijana humu JF mi naona utaishia kuchorwa tu maana umesema we form six na nikiangalia quality ya post za kinamama wengi humu ni wazi wengi wao kisomo kimepanda na wanaonyesha wengi wao ni graduates,watakukubali kweli na madigrii yao? Kama wewe ni muumini mzuri nakushauri kaangaliangalie kwenye kwaya,hawa wa JF taifa kubwa achana nao.
Hivi kumbe nafanana na simba?
ambao hawajapitiwa na mvua za CAROLIGHT ni adimu.edit mzigo.They are very fun ladies in here MMU
ambao hawajapitiwa na mvua za CAROLIGHT ni adimu.edit mzigo.
wasiotumia mkorogo wapo few,labda aedit mada ili atoe frusa kwa wadada walioji creamHuh??Sijakusoma kabisa!Fafanua tafadhali!
wasiotumia mkorogo wapo few,labda aedit mada ili atoe frusa kwa wadada walioji cream
hata chapati huungua mi naamin utapata wa color yako.nvr gve up the fightHahahaha!Kumbe!Mi ngoja nijitoe maana nimejikirimu mpaka nikakirimika haswa!
Umenikumbusha chapati!Asante kwa kunipa moyo!hata chapati huungua mi naamin utapata wa color yako.nvr gve up the fight
Mimi ni mkaka wa miaka 26 kasoro. Mimi ni mwenyeji wa MBY, nimemaliza 4m 6 na nina kazi. Hivyo najitokeza kwa mara ya kwanza ktk safu hii nikiwa serious kabisa kutafuta rafiki wa kike kwa uhusiano wa muda mrefu ili tukiendana tuoane. Napenda kuwa na familia. Asiwe amewahi kuolewa au kuwa na mtoto kwani hata mimi sijawahi kuoa wala sina mtoto. Umr 18-25, umbo la wastani, mkristo anayejiheshimu, elimu angalau kuanzia 4m 4, mchapa kazi, asitumie mkorogo na aliye tayari kuishi mazingira yoyote nchini. Hii ni nafasi ya yule tu aliye serious na swala hili.
Jamani mbona wengine tupo form 5?Alafu mapenzi sio elimu...usishangae akaopoa profesa!
Bdo hujapata mkuu??