jamani za sa hizi..eeeh mi ni mgeni humu na kutokana na ugeni wangu nilikuwa nahitaji mrembo mzuri,mzoefu na mchangamfu ili anieleweshe na kunielekeza mazingira ya humu.ambaye yuko tayari ajitokeze,wanaume wazoefu humu ndani mnahusika kunichagulia mrembo ambaye kwa uzoefu wenu ni mchangamfu na mkalimu kwa wageni.legoooooo!!
jamani za sa hizi..eeeh mi ni mgeni humu na kutokana na ugeni wangu nilikuwa nahitaji mrembo mzuri,mzoefu na mchangamfu ili anieleweshe na kunielekeza mazingira ya humu.ambaye yuko tayari ajitokeze,wanaume wazoefu humu ndani mnahusika kunichagulia mrembo ambaye kwa uzoefu wenu ni mchangamfu na mkalimu kwa wageni.legoooooo!!
kupanga ni kuchagua,nimeshachagua nilivyopanga nataka mrembo,urembo unahusisha vingi hata uzuri wa avatar unahusika,ya kwako nzuri MREMBO.big up.
jamani eeeh nimesema nataka mrembo anielekeze mazingira ya humu sio mke sasa mnaniambia niende facebook huo ndo ukarimu gani?sasa mrembo wa facebook atanielekeza mazingira ya humu?tujipange wadau tunapotoa ushauri na tusiwe na mawazo negative..
kua mpole me nimekuelewa sana , fanyia kazi sasa, ushindwe mwenyeweeeeeeeeeeee, hafu acha ubaguzi we mazingira ya humu tu unataka mrembo, shauriyako na huo uchaguzi wako
jamani za sa hizi..eeeh mi ni mgeni humu na kutokana na ugeni wangu nilikuwa nahitaji mrembo mzuri,mzoefu na mchangamfu ili anieleweshe na kunielekeza mazingira ya humu.ambaye yuko tayari ajitokeze,wanaume wazoefu humu ndani mnahusika kunichagulia mrembo ambaye kwa uzoefu wenu ni mchangamfu na mkalimu kwa wageni.legoooooo!!
kupanga ni kuchagua,nimeshachagua nilivyopanga nataka mrembo,urembo unahusisha vingi hata uzuri wa avatar unahusika,ya kwako nzuri MREMBO.big up.
.......douchebag.......
Uzi wako hauna mantiki yoyoye, ulichofanya ni kukusanya maneno na kutengeneza sentesi zilizoleta maana lakini hakuna mantinki.
Kwanza, JF si nyumba au mtaa au eneo kiasi utafute mtu wa kukuelekeza. Hapa sio downtown D'slam au Harlem au Peking.
Pili, kanuni za kujiunga JF zimeelekezwa kwa mtu binafsi na wala sio watu au kikundi cha watu, hivyo hakuna mtu wa kumuelekeza mtu mwingine. Kama unajua kusoma na kuandika hilo pekee linatosha.
Tatu, kabla hujaingia jukwaa lolote, soma mabandiko elekezi ambayo hupatikana katika ukurasa maskani wa kila jukwaa.
Ushauri: Hapa ni kazi tu, umaarufu mtaani kwenu na ndio maana unajiita bigIQ wakati mawazo na fikra zako ni ndogo kama mdudu chungu.
nadhani uwezo wako wa kufikiri unaishia kwenye ncha ya pua yako,una uwezo kujudge kitu kama unavyokiona juu hauwezi kuchanganua kwa undani iliyotumika hapo ni lugha ya picha na wenye akili wameelewa na wamechangia inavyotakiwa,nani amesema hii ni place kama D'salaam,ukifikiria sana we ndo una ubongo mdogo coz hakuna sababu ya kukashfiana but all in all nashukuru kwa maelekezo yako we ndo aina ya warembo niliokuwa nawataka,nilijua n tawapata tu.
ugoni unamsumbua huyo mzee.kua mpole me nimekuelewa sana , fanyia kazi sasa, ushindwe mwenyeweeeeeeeeeeee, hafu acha ubaguzi we mazingira ya humu tu unataka mrembo, shauriyako na huo uchaguzi wako
hehehehe....umemaliza??? nyie viJunior member huwa mna matatizo sana, sijui mnaambukizana ujinga na kutokuwa na heshima...
once a douchebag.....always a douchebag!!!
au mcheki belinda jacob maana midomo yake tu yaonesha ni mtamu vya kutosha,madam b atakuua maana anaabudu hela.
hehehehe....umemaliza??? nyie viJunior member huwa mna matatizo sana, sijui mnaambukizana ujinga na kutokuwa na heshima...
once a douchebag.....always a douchebag!!!
hana heshima ndo maana anatukanana na watu aliowazidi uzoefu hata mimi juzi kanitukanawatu8 kwa heshima yako mkaushie tu, u don have to say ol that baby
watu8 kwa heshima yako mkaushie tu, u don have to say ol that baby
hana heshima ndo maana anatukanana na watu aliowazidi uzoefu hata mimi juzi kanitukana
nimesema hivi kwa kumaanisha kwamba watu nane ni heavy weight sasa akibishana na watu wenye uzoefu mdogo heshima itashuka sina maana ya kumsimanga.watu nane ni katika kuwekana sawa tu mzee.Basi na we msamehe bure
huku hakuna warembo, wapo wamama afu wameshazeeka sana.