lockman
Member
- Jul 22, 2021
- 10
- 20
Hi guys
Mimi ni kijana wa miaka 33 naishi NJOMBE nimegundulika na maambukizi ya VVU last month. Najishughulisha na biashara ya mazao, Elimu ni Degree ya Education, si mfupi si mrefu mwili wa kwawaida na nimeanza kutumia ARV, nipo vizuri kabisa
Nimekuja humu kusaka mchumba ili tuweze kuwa mme na mke kama tutaridhiana. Nilikuwa na mchumba lakini tulipoenda kupima ili tuoane nikakutwa nina shida ikabidi tuachane
Mwenye nia ya dhati anicheki inbox. Asanteni wapendwa
Mimi ni kijana wa miaka 33 naishi NJOMBE nimegundulika na maambukizi ya VVU last month. Najishughulisha na biashara ya mazao, Elimu ni Degree ya Education, si mfupi si mrefu mwili wa kwawaida na nimeanza kutumia ARV, nipo vizuri kabisa
Nimekuja humu kusaka mchumba ili tuweze kuwa mme na mke kama tutaridhiana. Nilikuwa na mchumba lakini tulipoenda kupima ili tuoane nikakutwa nina shida ikabidi tuachane
Mwenye nia ya dhati anicheki inbox. Asanteni wapendwa