As days goes on WANAUME tunazidi kupungua.! Hivi na hiyo laptop yako ukitafuta mwamvuli na meza ukaweka kona flani hivi hapo karibu na unapoishi unashindwa kuflash, kupakua nyimbo/filamu, kuweka nyimbo ktk simu, kuuza vocha etc kweli jamani? Ama kweli ni kizazi cha DOTCOM