M Museven JF-Expert Member Aug 22, 2011 629 447 Apr 12, 2012 #1 Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40, niko Kahama. Nahitaji mwanamke awe mpenzi wangu. Sina ubaguzi wowote. Aliye tayari tuwasiliane kwa PM.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40, niko Kahama. Nahitaji mwanamke awe mpenzi wangu. Sina ubaguzi wowote. Aliye tayari tuwasiliane kwa PM.
Fasouls JF-Expert Member Jun 24, 2011 939 316 Apr 12, 2012 #4 kutana na dinam nae ana miaka hyohyo 40 nadhan mtaendana! Ila mbona umechelewa sana au umefiwa?
STK ONE JF-Expert Member Dec 31, 2011 627 184 Apr 12, 2012 #5 Mkuu, ulikuwa bado tu? Why? Au shemeji katangulia mbele za haki?
Mgibeon JF-Expert Member Aug 7, 2011 11,135 20,763 Apr 12, 2012 #6 Teh, mke mwema anatoka kwa Mungu hatoki FB, then mkuu huna hata workmet hata xul met
AshaDii Platinum Member Apr 16, 2011 16,190 18,077 Apr 12, 2012 #7 Ujaeleza vizuri Mkuu... Una mke tayari na sasa unataka nyumba ndogo? Open up.....
Binti Magufuli JF-Expert Member Apr 2, 2011 7,484 5,142 Apr 12, 2012 #8 hahahahah 40 si utasukumwa teh teh
S Shabani Mohamedi Member Apr 15, 2012 66 9 Apr 15, 2012 #10 Hujawa waz zaidi kuhusu age ya mke unaehitaji, specify
K Kariongo Senior Member Apr 5, 2012 112 5 Apr 15, 2012 #11 Magubegube, magubegube yaliyokomaa yenye umeme wa Tanesco