Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,028
- 52,501
ok kila la kheriKwani mwanamke na mwanaume wanafanyaga nini?
Nataka wa kuoa
ok kila la kheriKwani mwanamke na mwanaume wanafanyaga nini?
Nataka wa kuoa
Wee ke au me?then mwaka Jana ulikuwa na 33yrs Leo 42.Usijisahau basi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
upweke mbaya jamani mi mwenyewe natafuta tusaidiane kutafuta,vigezo vyako nimevikosa,juzi tu nimefikisha 42yrs old!!
![]()
![]()
![]()
ntarudi!
wewe miaka yako vipi, 2015 ulikua na 33, 2016 ulikua na 30 na saivi umekua na 32 no wonder unatafutaga tu.
hii ndio JF jamanWalahi hata Mimi si nilijua ni wewenaona watu wanafurika pm kwangu kwa uzi huu jamani someni vizuri
nkacomment buana!!now ndo nashtuka kumbe ni dume sio miss natafuta!!aaghhaa

Mwenyewe nimeshangaa comment yako mkuu nikajua hujamuelewa mtoa madaWalahi hata Mimi si nilijua ni wewe![]()
![]()
nkacomment buana!!now ndo nashtuka kumbe ni dume sio miss natafuta!!aaghhaa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unataka ndoa au papuchi?Tatizo hutaki tuoane.
Sikumuelewa mkuu,mi nilivyoona jina, natafuta, si nikajua ni miss natafuta bwana!!mbio nikajua naokota dodo kwenye mperaMwenyewe nimeshangaa comment yako mkuu nikajua hujamuelewa mtoa mada

aya ngoja niongee na wazaziNdoa maana nimechoka na upweke.
hata mimi natafutaSikumuelewa mkuu,mi nilivyoona jina, natafuta, si nikajua ni miss natafuta bwana!!mbio nikajua naokota dodo kwenye mpera![]()
![]()
![]()
![]()
hebu nielimishe hapa hapa.Kuelimishana