Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,474
- 10,417
Naitwa Daniella Lyimo na umri wa miaka 23, nimrefu so sana, sio mweusi wala mweupe, siyo mnene wala mwembamba nipo wastani, elimu yangu kidato cha nne, kazi mfanyabiashara, mzaliwa wa mkoani Kilimanjaro
> VIGEZO VYA MWANAUME NINAYE MTAKA
>Awe na miaka kuanzia 27 hadi 38 asiwe mwembamba wala mnene awe wa wastani, rangi yotote mweupe, mweusi, chocolate sawa
>Asiwe mchaga kabila nyingine sawa
>Awe na mapenzi ya dhati
>Elimu yoyote. Akipatikana anitafute namba nitatoa kidogo awe na mvuto.
=====
Nimepata tayari, asanteni.
> VIGEZO VYA MWANAUME NINAYE MTAKA
>Awe na miaka kuanzia 27 hadi 38 asiwe mwembamba wala mnene awe wa wastani, rangi yotote mweupe, mweusi, chocolate sawa
>Asiwe mchaga kabila nyingine sawa
>Awe na mapenzi ya dhati
>Elimu yoyote. Akipatikana anitafute namba nitatoa kidogo awe na mvuto.
=====
Nimepata tayari, asanteni.