Najua wewe utakuwa mkweli. Ila nini kipimo cha u-serious wako??Nipo serious ila cpend mwanaume muongo
Hatumkatishi tamaa mkuu...Msimkatishe tamaaa jaman
Kwani humu jf kuna tofauti gani na kitaaHapana cwez hitaji mwingne ,na ndo mana nimekuja hapa jf lait kama ningetaka wengne weng wala nicngekuja humu mbona kitaa weng 2
Mbona wanaume wameoa lakn wanatongoza na kusema hawajaoa,mnanishangaa mm nn?Hatumkatishi tamaa mkuu...
Humu tunasaidiana sana kwa kuambiana ukweli. Na hivi inawezekana aje mwanamke yupo na mwanaume wake na wanaishi pamoja, alafu anakuja kusema eti anatafuta mpenzi
Hapa sana naona anajitengemezea mazingira ya kukanyagwa na kuachwa tu aiseeee.....
Hakuna mwanaume anae weza akampenda kwa dhati mwanamke ambae yupo na mwanaume mwingine. Zaidi atachezewa tu, na kisha atakuja kuanzisha uzi mwingine wa malalamiko.
Ukiona mwanaume anakuambia kwamba hajaoa ilhali ana mke, kisha anakutaka. Basi ujue huyo anataka akutawanye miguu kisha anakunawa.Mbona wanaume wameoa lakn wanatongoza na kusema hawajaoa,mnanishangaa mm nn?
Unafanya tuoekane vichaa sasa ndo nn kuchekeshana hadharaniWeka picha ukiwa umesimama, ya kwanza uangalie mbele ya pili uangalie nyuma, Thanks in advance
Hapa kwangu space ipo lakini wee upo mbeya, pagumu hapo kwanguNipo serious ila cpend mwanaume muongo
Mkuuu tena unakuta ni shoga lintaka kupakuliwa mabogaAfu ukitia timu pm unakuta ni kidume mwenzio dadeki
Ok nipe contact zKopicha c muhmu waweza 2ma af c yako
mbio nyingi sana me yashanikuta mitandao inambo sanaAfu ukitia timu pm unakuta ni kidume mwenzio dadeki
We ndo Una MatatizoUkiona nimeamua kutafuta ujue nimechoshwa