KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,098
- 1,345
Huyu mnyonyaji tuuh...
Habari Issabela mm n kijana wa kiislamu na nliwahi kuleta tangazo hapa kutafta bint wa kiislamu lakin sikufanikiwa kwa kuwa waliokuja PM walikua tayari na watoto. Kama huna mtoto tuwasiliane tunaweza kuelewana na kufikia lengoHi wapendwa,
Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.
Mwenye sifa hizo anifollow pm
hahahah....Sasa hao watakayejitokeza hapa utajuaje kama hanatofauti na hao wanaokutongoza kila siku?
Utajua vp kuhusu uaminifu wao?
Halaf ukishaweza anza kudate na mtu kwa mfumo huu uliotumia huna tofaut na wale wa kimboka... umeacha wangap mtaani kwenu uje utafute humu???? Ila kama ni biashara tu bas na mm NATAKA
Hapo ndo pazuli isije kuwa niWeka picha tabia tutarekebishana
ndio harufu ya utapeli sasaUmebadilisha jina wewe ni miss arusha nakufahamu sana
Nakuja pmHi wapendwa,
Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.
Mwenye sifa hizo anifollow pm
Njoo pm pls.vigezo vimetimia.Hi wapendwa,
Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.
Mwenye sifa hizo anifollow pm
weka picha tukutathminiHi wapendwa,
Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.
Mwenye sifa hizo anifollow pm
ukikosa njoo kwangu nakusubiri nipo tanga nauza samaki soko la ngamianiSikiliza niseme kitu kimoja wapendw kam n wanaume wapo kila siku n natongozwa lakn always sio wakwli n hawn mapenzi y kweli, sasa nachotak kusem n hivi mtu ananenipend mm naomb afate vigezo nilivyotaja hapo juu saw wendw, really am serious
Haya umesomeka. Njoo pm kwa mjadara zaidi.Una uhakika n unachokiongea? Hivi n uchizi gan uweke picha ya mtu, sema lingine