Natafuta mpenzi wa kike, kutongoza nashindwa.

Natafuta mpenzi wa kike, kutongoza nashindwa.

kwa kuwa hoja yako umeipost huku, andika na ujira, utawapata wakukusaidia kutongoza maana watu tuna stress za ajira.
 
imaelekea wewe ni mzee wa buguruni, maana pale ukifika unashika tuu mkono
 
Habari wana MMU, mimi ni kijana mwenye miaka 32, bado natafuta maisha; nimeajiriwa na kampuni binafsi baada ya kuhitimu masomo yangu ya juu nchini China. Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.
Wewe unatafuta vitu vingapi? Bado unatafuta maisha na muda huo huo unatafuta mpenzi. Mtafute maisha kwanza ukishampata ndio umtafute mpenzi kama alipotelea kule China.
 
Miaka 32? inamaana hata kuchovya haujawahi? kama uliwahi ulitongozaje au ulinunua lakini hata kwenye kununua kuna mapatano ya bei sasa kwako iko je hiyo?
 
Sasa shida yako nini! tukutafutie mwanamke au tukufundishe kutongoza?
 
32 huwezi kutongoza jmn,??em stop embarassing the male species...
 
Habari wana MMU, mimi ni kijana mwenye miaka 32, bado natafuta maisha; nimeajiriwa na kampuni binafsi baada ya kuhitimu masomo yangu ya juu nchini China. Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.

Aisee!! Miaka 32 hujui kutongoza?! Kwahyo toka uzaliwe hujawahi gonga?? Unataka kutuambia ww ni mwanachama wa CHAPUTA.
 
Back
Top Bottom