Natafuta mpenzi wa kike, kutongoza nashindwa.

Natafuta mpenzi wa kike, kutongoza nashindwa.

Unatafuta kwani amekupotea lini? Na alikua amevaa nini siku ya mwisho au yukoje yukoje?
 
Habari wana MMU, mimi ni kijana mwenye miaka 32, bado natafuta maisha; nimeajiriwa na kampuni binafsi baada ya kuhitimu masomo yangu ya juu nchini China. Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.
Domo zege a.k.a gundi
 
Wote mmembeza baada ya kumpa namna ya kumitigate tatizo lake.Its sad ila what I believe mchumba au mke hatafutwi Hapa Jukwaa la ajira na pia sidhani Kama ni rahisi Hapa JF Sina uzoefu,zingatia na tembelea zaidi MMU
On another note,Muombe Mungu akupe mke mwema na jaribu kujichanganya makanisani au msikitini waweza pata your spouse for life.
Just be humble if you serious and you might get lucky.
Goodluck in finding a partner
 
Huyu hata bikra haijui wakuu!njoo nikufundishe bure kabisa...
 
Toa Uzi wako.huku tuna ukame wa kutafuta kazi peleke MMU sitaki kuona huku.
Soma alama za nyakati sio kipost tuu
.
 
Tatizo ana kamba mguunii

Aikate....haoni kila kukicha vilio na alivyo hivi ampate mbulula mwenzie atalizwa chezea mapenz wewe

Amekaa china karud bado hana swaga mbombo ngavu
 
Aikate....haoni kila kukicha vilio na alivyo hivi ampate mbulula mwenzie atalizwa chezea mapenz wewe

Amekaa china karud bado hana swaga mbombo ngavu

Shangaaaa haloooooo
 
SIO MAHALI PAKE HAPA UMEKOSEA EMBU CHEKI MENU YA JF UPYA UTAONA MAHALI PAKE. 'right thing in a wrong position'
Habari wana MMU, mimi ni kijana mwenye miaka 32, bado natafuta maisha; nimeajiriwa na kampuni binafsi baada ya kuhitimu masomo yangu ya juu nchini China. Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.
 
Habari wana MMU, mimi ni kijana mwenye miaka 32, bado natafuta maisha; nimeajiriwa na kampuni binafsi baada ya kuhitimu masomo yangu ya juu nchini China. Natafuta mpenzi mwenye miaka kati ya 20-32, awe tayari kupima ukimwi.

Kwahiyo ww ni bikra wa kiume?
 
Back
Top Bottom