Replies
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,497
- 452
umecheck vizuri signature yako mkuu bulldog-think before you leapkutafuta wanawake kwenye social networks ni ushamba, au ndo mmefundishwa hvyo kwenye chuo chenu cha kata??
umecheck vizuri signature yako mkuu bulldog-think before you leapkutafuta wanawake kwenye social networks ni ushamba, au ndo mmefundishwa hvyo kwenye chuo chenu cha kata??
changu ni changu ukiwa na pesa utachagua umpendaye lkn ukileta song zako hapa sijui tirarira nimemaliza chuo tirarira nimepata kazi wakati humtumii hata salio huwezi pata msichana hapa!
Punguza maneno bali weka vitendo!Muite chemba hapa unayeona anakuvutia akiandika omba namba yake jaza salio then muache yy aongee!
Ehehehehe
ha ha ha una balaa ww lol
Huko maeneo ya makulu,nkuhungu,kisasa,veyula na kwingineko kote umekosa mwanamke?
hi wapendwa, mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 24. Nimemaliza degree yangu ya kwanza mwaka 2013 chuo kikuu cha Dodoma (UDOM). sasa nimefanikiwa kupata kazi NSSF Dodoma kama assistant Accountant. So napenda kutumia fursa hii katika uzi huu hapa JF kutafuta rafiki wa kike ili tuweze kuwa pamoja nami niyafurahiye maisha kama wenzangu wenye wenza wao wanavyofurahia. kwa mwanamke au msichana atakaye ridhia naomba tuwasiliane kwa namba ifuatayo 0776305744. Ahsanteni sana, Napenda kutanguliza shukuran zangu kwenu.
Ndio wewe uliyefungua ID ya "yako ni ndefu na nene"
Halafu unatangaza kuwa unado. Kweli JF ni Chaka.
Mbona miaka yako hujaweka
nimeweka ndg, 24 kaka.
nashukuru sana, wanawake Watatu wamekwisha wasiliana nami, mmoja yuko hapahapa Dom, na tutaonana naye kesho jumamosi. wengine wako Moro na Dar.
umecheck vizuri signature yako mkuu bulldog-think before you leap
Sign yangu inakuhusu nini??