Ndalichako njoo hukuWw dada unaakil cna umejfunza meng cna urahian mm ningekubl ila kigezo cha umr bdo mana km tupo sawa vle ila ww unajua maisha kwa ujumla
Duh kumbe 25 ni viserengetiZingatia umri sitaki viserengeti
Nmekuja Mtetezi wenuWadau mimi ni mdada wa miaka 30 sasa, nina mtoto mmoja ana miaka 12,nilizaa katika umri mdogo ila ndo changamoto na nimekabiliana nayo,natafuta mwanaume ambaye atakuwa partner wangu wa maisha, atakayenipenda, nijali, kunihudumia na kujua majukumu yake katika familia, umri kuanzia 32-45, awe msafi na mwenye kujipenda kwa kifupi totally definition of a gentleman. Mengine tutaongea tukishafahamiana..... Nawasilisha!
Ni wazo zuri ila itategemea na walivyo tengana au labda hayupo duniani!Mtafute mliyezaa naye, acha kupoteza muda.......mwanaume ni mwanaume tu, Mzazi mwenzio ndio kila kitu...hebu mtafute
Kila la kheri dada.Wadau,
Mimi ni mdada wa miaka 30 sasa, nina mtoto mmoja ana miaka 12, nilizaa katika umri mdogo ila ndo changamoto na nimekabiliana nayo, natafuta mwanaume ambaye atakuwa partner wangu wa maisha, atakayenipenda, nijali, kunihudumia na kujua majukumu yake katika familia, umri kuanzia 32-45, awe msafi na mwenye kujipenda kwa kifupi totally definition of a gentleman. Mengine tutaongea tukishafahamiana.
Nawasilisha!