natafuta modem ambayo nitaweza weka line ya airtel!

mojoki

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
1,314
290
kichwa cha habari hapo juu chausika...ni PM nikutafute fasta
 
D-Link
Line zote inakubali. Mara ya mwisho ilikua TShs. 150,000
 
dah almost 50000 mbona ghal sana aisee me shida yangu ya bei rahisi line ya airtel tu... ya kama 30,000
 
sina chief au ninunuya tigo utaweza nichakachulia
 
umejiskia kuandika tu eti? Kwan me sjui kama zinauzwa?...nataka bei rahisi bro 53000 naona kama nadhulumiwa vile...
Wewe naona huhitaji modem bali umejisikia kusumbua watu tu. Maana kila unaloambiwa unasema ni ghali na unaona kama vile unaibiwa. Mimi nakushauri ukae bila modem ili usiibiwe.
 
Wewe naona huhitaji modem bali umejisikia kusumbua watu tu. Maana kila unaloambiwa unasema ni ghali na unaona kama vile unaibiwa. Mimi nakushauri ukae bila modem ili usiibiwe.

mbona kama unataka kunipiga mkuu punguza hasira si unajua una presha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom