Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,660
Nmekuambia bush ndo wanauzwa 5000 kwa hapo dar namuunganisha na jamaa amuuzie kwa 10,000 anasema bei ya mkaa!. Kwa 20,000 sungura sio bei fair watanunua wadosi tu.we ashakwambiaa yupo dar...ko anauza kama soko la dar linavoenda....wewe unataka auze 5000 kama za bei za vijijini....huoni kama nikumtia hasaraa...