Kwa sis Mkoani sungura mkubwa tzsh 8000/=Habari wadau, ninauza Sungura, ninapatika Dar Maeneo ya Kitunda jumla ni watano, being 20,000/kwa kila mmoja. Karibuni.
Bei hiyo hapana!. Ningekuunga na jamaa hata sungura 300 angenunua lkn kwa 10000/sunguraHabari wadau, ninauza Sungura, ninapatika Dar Maeneo ya Kitunda jumla ni watano, being 20,000/kwa kila mmoja. Karibuni.
Tatizo ni bei ya mkaa.....Bei hiyo hapana!. Ningekuunga na jamaa hata sungura 300 angenunua lkn kwa 10000/sungura
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitoweo
Akae nao wamfilisi chakula!. Bei ya mkaa 10000 kwa sungura?. Huko vijijin mpaka 5000 bonge la sungura unapataTatizo ni bei ya mkaa.....
Daaaaah mtu unakaa kabisa unafuga sungura bora ufuge kuku tuu mkuuHabari wadau, ninauza Sungura, ninapatika Dar Maeneo ya Kitunda jumla ni watano, being 20,000/kwa kila mmoja. Karibuni.
hivi hizi stori za kware ziliishia wapi maana siku hizi sizisikiiTatizo la wabongo tunaishi kwa kufuata mkumbo mara sijui kufuga kware mara sungura haya sasa wanakudodea
Ni biashara pia kama biashara zingine
zimepita na upepo kama alivyopita Babu wa Loliondohivi hizi stori za kware ziliishia wapi maana siku hizi sizisikii
gharama ya kuwahudumia kijijini ni rahisii sanaa sababu wanakula tu majani..ila kwa maeneo ya taun kama dar ni pumba na mambo kibaooo...ko usilinganisheeeAkae nao wamfilisi chakula!. Bei ya mkaa 10000 kwa sungura?. Huko vijijin mpaka 5000 bonge la sungura unapata
JF kuna vichaa wengi sana!.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
wanahitajikaa sanaa kwenye mahotel....sungura ni white meat.....hope u know what i am talkng aboutDaaaaah mtu unakaa kabisa unafuga sungura bora ufuge kuku tuu mkuu
Ndevu..wewe mzee unafuga nini?
Nan kakuambia wanakula tu majani?. Pia elewa nguvu ya soko hivyo kama alifuga kwa gharama kubwa ili auze kwa gharama kubwa basi wapo wanafuga kwa gharama ndogo na wanauza kwa gharama ndogo hivyo kama bei ya 5000 ni ya mkaa acha akae naogharama ya kuwahudumia kijijini ni rahisii sanaa sababu wanakula tu majani..ila kwa maeneo ya taun kama dar ni pumba na mambo kibaooo...ko usilinganisheee
we ashakwambiaa yupo dar...ko anauza kama soko la dar linavoenda....wewe unataka auze 5000 kama za bei za vijijini....huoni kama nikumtia hasaraa...Nan kakuambia wanakula tu majani?. Pia elewa nguvu ya soko hivyo kama alifuga kwa gharama kubwa ili auze kwa gharama kubwa basi wapo wanafuga kwa gharama ndogo na wanauza kwa gharama ndogo hivyo kama bei ya 5000 ni ya mkaa acha akae nao