Mdogo angu,kama ungeachana kwanza na mambo ya kuolewa hivi,japo ni mambo yako binafsi na ni maamuzi yako,naona unge-focus kumkuza mwanao kwanza akitengemaa ndio mengine yafuate.....
Hata mimi pia naipenda avatar yangu.Nimeipenda Avarta yako
Siungesubiri mtoto aache ziwa kwanza ??miezi 6 sibado unanuka maziwa ?haraka yanini ?..Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miaz6 nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na ictoshe ameoa mwanamke mwingine....kwaiyo atakae kua tayar kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari
MTU anamtoto mdogo acha nyexxxge zakijinga .nimekupm namba umeiona?
NipmMie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miaz6 nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na ictoshe ameoa mwanamke mwingine....kwaiyo atakae kua tayar kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari
Umeanza mapenzi ukiwa na umri gani?tuanzie hapo halafu ujue kabisa umeachwa kwa sababu una kasoro.hakuna anayependa matatizo.ushauri wa bure we lea tu mtoto huyo ama jifanye kama umezawadiwa mtoto.kasoro zako baki nazo mwenyewe.Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miaz6 nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na ictoshe ameoa mwanamke mwingine....kwaiyo atakae kua tayar kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari
Fanya kunitafuta kwa namba hiyo nimetuma sasa
Mlee kwanza mtoto akue japo afikishe miaka miwili halafu ndio uanze kutafuta mume wa kukuoa.
Wakati huo natafuta mume jitahidi ujishughulishe na kazi yoyote ili uweze kupata cha kukizi mahitaji ya kila siku
Mnataka kubemenda mtoto wa mwenzenu nyie.Fanya kunitafuta kwa namba hiyo nimetuma sasa
Tangazo halikamilika... Halfu 23 years..??!!!Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miaz6 nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na ictoshe ameoa mwanamke mwingine....kwaiyo atakae kua tayar kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari