MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,400
Alizoea kupigwa na ukuni kila wakati sasa hiyo ndiyo shida kuu kwake.Calm down kwanza lea mtoto wako akue my friend miezi 6 bado mdogo na pia hauna muda tangia umeachana na huyo baba mtoto wako
Humu utapata wanaume watakao kupa Stress hadi ujutie uamuzi wako hawato kuacha salama humu wanacho tanguliza ni kula dodo tuu alale mbele tena una mtoto mdogo hivyo komaa nae kwanza mtoto asije kuwa fundi viatu
Pia umri wako miaka 23 bado sana jipange uta vuka tuu hiyo mitihani na majaribu una pitia kila kitu kina pita hakuna kita baki milele
Ushauri mzuri ila haumfai kwani ni mwenye njaa kali. Hiyo nayo ni sampuli.