Natafuta mme wa kunioa

Calm down kwanza lea mtoto wako akue my friend miezi 6 bado mdogo na pia hauna muda tangia umeachana na huyo baba mtoto wako

Humu utapata wanaume watakao kupa Stress hadi ujutie uamuzi wako hawato kuacha salama humu wanacho tanguliza ni kula dodo tuu alale mbele tena una mtoto mdogo hivyo komaa nae kwanza mtoto asije kuwa fundi viatu

Pia umri wako miaka 23 bado sana jipange uta vuka tuu hiyo mitihani na majaribu una pitia kila kitu kina pita hakuna kita baki milele
Alizoea kupigwa na ukuni kila wakati sasa hiyo ndiyo shida kuu kwake.
Ushauri mzuri ila haumfai kwani ni mwenye njaa kali. Hiyo nayo ni sampuli.
 
Hapa ndoninapokuja kuamini kuwa lait mungu asingewaumba wanawake na **** basi wangepata shida sana maana wasingekuwa na kitega uchumii.Iv wewe uzalishwe na MTU mwingine then unipe majukumu Mimi?yani unaingiaa uwanjan timu pinzani taar inagoli mojaa apanaa kwa kweli pambana tuu dadang
 
Siungesubiri mtoto aache ziwa kwanza ??miezi 6 sibado unanuka maziwa ?haraka yanini ?..
Majibu yenu Sasa
Ila hata mimi ningeshauri atunze Na anyonyeshe kwanza mtoto
Walau afikishe miaka 3 au 2
Ndo aanze
Mana nijuavyo mwanaume atakayempata cha kwanza ni kuanza kumuomba.
Sasa itakuwaje??mtoto atabemendwaa bure
hata kama anataka wa kumsaidia maisha ajitahidi yy kwanza au Ajitokeze mkaka amsaidie kulea bure bila kumuomba.For the sake of the child.
Halafu baada ya miaka hiyo miwili ndo aanze kumuomba
 
Hapa ndoninapokuja kuamini kuwa lait mungu asingewaumba wanawake na **** basi wangepata shida sana maana wasingekuwa na kitega uchumii.Iv wewe uzalishwe na MTU mwingine then unipe majukumu Mimi?yani unaingiaa uwanjan timu pinzani taar inagoli mojaa apanaa kwa kweli pambana tuu dadang
Mbona juu umemjibu vizuri
Eti njoo Pm
Sasa tena unamponda
Jamani si uwaachee wanaoweza kulea mtoto asiye wako mtamu sana kulea.Mungu anakuongzea
 
Mbona juu umemjibu vizuri
Eti njoo Pm
Sasa tena unamponda
Jamani si uwaachee wanaoweza kulea mtoto asiye wako mtamu sana kulea.Mungu anakuongzea
Mkuu kama nakuona hivi najua hawezi kuja Mkuu maana hawa pasua kichwa ohoo
 
Mkuu kama nakuona hivi najua hawezi kuja Mkuu maana hawa pasua kichwa ohoo
Sio bwana
Watu wengi mnakariri
Kuzaa ni majaliwa
Wapo wengi waliotoa mimba zaidi ya 5 Yaani mama marehemu.Ni naonaga mdada anayezaa anajitambua Mana kwanza anajiwekea legacy mbele
Mtoto anafariji mtoto ni Kinga ya mbele kuliko wanaotoa mimba .Halafu Na wewe unakuja kujidanganya kwamba nimeoa asiyena mtoto
Anayezaa ni.bora.Kwanza hana dhambi ya kuua kiumbe cha Mungu .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom