Natafuta mme nina VVU

Natafuta mme nina VVU

BITEMO

Member
Joined
May 30, 2015
Posts
73
Reaction score
3
Samahani ndugu zangu kama nina wakwaza,

Bado sijapata mchumba ambaye nataka awe mme, umri miaka 25 hadi 35, please niko serious msiseme natania, dini awe mkristo halisi aliye tayari kufunga ndoa.
 
JF New Member, with special Request. JF Watakusaidia Ila wengi Wao Wanapendelea Kugonga Kwanza Ndio Mkubaliane.
 
Ngoja nikapime kwanza, nikikutwa nao ntakutafta, bt mie ni muislam
 
Tafuta wenzio walioianza safari ya matumaini
 
Hiyo V.V.U ni gari au? Na je, unaiuza au ni motisha kwa mchumba/mume mtarajiwa?
 
We ni mpumbavu!

kuwa na hekima...upumbavu wake ni nini labda..kumtafuta mwenzi mwenye VVU kama yeye au? kwani kama hii thread haikuhusu si ungenyamaza tu ndugu...kuliko kumtusi mwenzio?je huyu si bora kuliko wale wasiosema na wanawaambukiza wengine?
 
Karibu wako wengi humu JF,ila ukimpata usikose kutujulisha ili iwasaidie na wengine kama wewe.
 
Tafuta wenzio walioianza safari ya matumaini

Una uhakika wewe uko salama?? Jana leo na kesho??
Au nani kakudanganya kuwa na VVU ndo tiketi ya kifo.

Omba Mungu sana. Kuna magonjwa na mikasa mingi ya hatari. Unaweza ukamtangulia udongoni baada ya mateso makali.

Tubu.
 
BITEMO

Mungu akuongoze katika njia zako mpendwa. Kuwa na VVU siyo tiketi ya kifo.

Ubarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom