Natafuta mme msabato(seventh day adventist)

Natafuta mme msabato(seventh day adventist)

nyapae

Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
42
Reaction score
32
Sihitaji mme jamani, nilikuwa nafanya utafiti na sasa umekamilika,

Asante kwa wote mlokuja PM.
 
Unaitumie mgongo wa dini, we we mwenyewe guns sifa za kuolewa, UPENDO hauna masharti,sasa unaposema awe name kazi nzuri maanake aje name vyeti pamoja name sarary slip za mshahara? Ww unasifa gan? Nauhakika unamapenz maslah ndio maana ulozaa nae hakukuoa...usipoangalia utaishia Kuwa Nyumba ndogo
 
nyapae

mtoto mwenyewe ndio yuko kwn id picture yako hapo? anaonekana mtundu sana hadi namuogopa
 
Last edited by a moderator:
Miaka 27,Umezalishwa,then masharti kibao,he he he my friend you better choose to be Single for life.
 
mtumishi wa mungu kaweka vigezo na masharti awe na kazi nzuri ya kueleweka
 
nyapae

Ninaamini ktk Mithali 19:14, kwamba, "Nyumba na Mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana".

Kwa maana nyingine fungu hili humaanisha hata mume mwenye kufaa, mtu hupewa na Bwana.
Ninapenda kukushauri kuwa, muombe Mungu akupe mume ila siyo kazi ya huyo mume maana hitaji lako ni mume na siyo kazi. Labda kama unataka kazi tukutafutie, lkn kama hitaji lako ni mume, acha kuweka vigezo vya kazi maana hayo ni majaaliwa tu.
Itapendeza sana ukinielewa.
 
Last edited by a moderator:
nyapae mimi ni binti napenda uwe rafiki yangu tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom